dvj nasmiletz
JF-Expert Member
- Jul 23, 2018
- 2,020
- 2,156
ningejibu"nilitaka niwahi nikaangalie tamthilia ya SULTANI...ila ngoja tu niangalie hapahapa sikujua kama una kingamuzi cha azamu"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daaaah watu ni wataalam"Aaah shemeji kwa vile ni wewe ngoja tu Leo nitie baraka...unajua sio vizuri kukataa chakula"..halafu muda huo unamuita mtoto wake unamuuliza.."uncle umekua wangapi safari hii"?
"Aaah shemeji kwa vile ni wewe ngoja tu Leo nitie baraka...unajua sio vizuri kukataa chakula"..halafu muda huo unamuita mtoto wake unamuuliza.."uncle umekua wangapi safari hii"?
Hizo zote ni zuga za kusubiria msosi..Mmesha katazwa kuwachosha watoto wa mama mwenyenyumba eti umekuwa wangapi inahusiana nini na ugali!We kula sepa mambo ya sijui unaandika au kalamu yako iko wapi yanatoka wapi?Tusichoshane
Hahahahaa eti umekuwa wa ngp safari hii"Aaah shemeji kwa vile ni wewe ngoja tu Leo nitie baraka...unajua sio vizuri kukataa chakula"..halafu muda huo unamuita mtoto wake unamuuliza.."uncle umekua wangapi safari hii"?
DuuuuhMimi hata sizugi namwambia tu 'sasa mbona hukuniambia kama mnapika ningejua hata nisingeaga, haya nasubiria'
Thread closed."Aaah shemeji kwa vile ni wewe ngoja tu Leo nitie baraka...unajua sio vizuri kukataa chakula"..halafu muda huo unamuita mtoto wake unamuuliza.."uncle umekua wangapi safari hii"?
"Aaah shemeji kwa vile ni wewe ngoja tu Leo nitie baraka...unajua sio vizuri kukataa chakula"..halafu muda huo unamuita mtoto wake unamuuliza.."uncle umekua wangapi safari hii"?
Hahahahaha...Siondoki bado nipo ngoja nimeone rafiki yangu wa siku nyingi yuko hapo juu
Ushindi wa mezani etiAhh shemeji bwana unajua sana kunitia majaribuni,Ila acha leo nikupe ushindi wa jaribu hili kwa kuendelea kuwepo wepo.
Hivi nizuge mbele ya msosiMimi hata sizugi namwambia tu 'sasa mbona hukuniambia kama mnapika ningejua hata nisingeaga, haya nasubiria'
"Aaah shemeji kwa vile ni wewe ngoja tu Leo nitie baraka...unajua sio vizuri kukataa chakula"..halafu muda huo unamuita mtoto wake unamuuliza.."uncle umekua wangapi safari hii"?
hatari nitaleta ujinga kwenye mengine ila sio msosiHivi nizuge mbele ya msosi
Tena nikijua mnapika hata kuaga siagi.
"Aaah shemeji kwa vile ni wewe ngoja tu Leo nitie baraka...unajua sio vizuri kukataa chakula"..halafu muda huo unamuita mtoto wake unamuuliza.."uncle umekua wangapi safari hii"?
Mwenza akili zako zimenishindahatari nitaleta ujinga kwenye mengine ila sio msosi