Boloyoung
JF-Expert Member
- Aug 24, 2015
- 680
- 627
Inasemekana kwamba kila mtu ni genius, ila kutokana na uzembe tu ndio maana mambo madogo yanatushinda, ivyo basi ili kuthibitisha kwamba sisi ni ma genius ebu tujibu swali lifuatalo.
Kulikuwa na wadada 6 na kila Dada ana kaka mmoja ( 1 ) je jumla wakaka wako wangapi?
Kulikuwa na wadada 6 na kila Dada ana kaka mmoja ( 1 ) je jumla wakaka wako wangapi?