Future-Tanzania
JF-Expert Member
- Dec 14, 2008
- 334
- 7
Sio wote! Inategemea na mtu na mtu. Kuna wengine kweli wana mawazo makubwa. Kuna wengine mawazo yao yanaishia kwenye umbea umbea tu. Hujawahi kukutana na shori ambaye huwezi kuongea naye let's say mambo investments, kununua shares, n.k....ukianza kuongelea mambo hayo mwenzako anakuona mshamba...John kisomo flani....lakini anza kuongelea mambo ya facebook na nani kaweka picha za party flani..uone atakavyoshusha stori....
Umakini hauna ujumla....inategemea na mtu na mtu
Ndio maana Nyani wanakwambia Ukitaka kwenda kuwinda inabidi usurvey your prey. Kuna wadada wengi sana wako smart than men. Thus why they say beyond every man success there is always a woman behind it.