Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,375
- 161,376
Uzuri hata wao wanavutiwahahahahaha ! sijui kwann !yaan watu tumejawa hofuu wee khaa kisa mamen !lol
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uzuri hata wao wanavutiwahahahahaha ! sijui kwann !yaan watu tumejawa hofuu wee khaa kisa mamen !lol
Kwani anapenda sura, tabia,au mwonekano??? Ndo maana mahusiano yanawashinda wengi... Yaani hawajui wanataka niniNyc....kwanini ufikirie kuwa na mvuto kwa kutumia vitu bandia?kesho mtu akufate muyajenge wakubali.....lakini baadae akikuona bila make up haamin na anayeya,je utamlaumu?
Khaaa sio kwa povu hili jamani figganigga ina maana ndo nimekukosa nilikuwaga nakumendeaUkiona mtu kapaka Makeup jua yupo down hivyo anataka awe juu.
Make up ni kwaajili ya kuweka uzuri bandia ili ajifananishe na msichana mzuri. Asilia kubwa wanaofanya hivyo ni wanawake waliokata taa. Eidha anadanga au umri umeenda na uso hautazamiki tena. Kakata senta bolt.
Nawachukia sana. Ukiona mtu anamakeup hakufai labda kuosha rungu tu kisha unasepa.
Hehehe eve umenivunja mbavu ati linaelekea kuwa la nini?Cha ajabu wanaume mnaopinga make up, huwa mnakua na magoma yaliyopiga make up hadi yamekua kama zombi, goma limejikrimu hadi linaelekea kuwa la kijani
Eeh jamani. Halafu mtu ukipata make up unapendeza bwana. Urembo ni kwa ajili ya mwanamke. Sasa sio mwanaume atoke hata mafuta hapaki na mie hata lipstick kweli?? Anaeniona wa ajabu sawa tu ile mi moyo unafurahiaHahaha
Umeonaee... Walau ka Jonson powder
Nikienda kununua ninahakikisha mr hayuko, maana cashier anakwambia laki tatu. Unaweza kuulizwa hela hii ni ya hili vumbi hili?
Mwenza unataka kutuongezea familia naona.Khaaa sio kwa povu hili jamani figganigga ina maana ndo nimekukosa nilikuwaga nakumendea
Ninatumia make up kila nikitoka asubuhi
siwezi kuongeza tena mwenza si umesikia hapendi mekapu na mimi bila mekapu hata msalani siendiMwenza unataka kutuongezea familia naona.
Hiyo yote iko akilini mwako tu.Ukiona mtu kapaka Makeup jua yupo down hivyo anataka awe juu.
Make up ni kwaajili ya kuweka uzuri bandia ili ajifananishe na msichana mzuri. Asilia kubwa wanaofanya hivyo ni wanawake waliokata taa. Eidha anadanga au umri umeenda na uso hautazamiki tena. Kakata senta bolt.
Nawachukia sana. Ukiona mtu anamakeup hakufai labda kuosha rungu tu kisha unasepa.
Wanajichetuaga tu.Cha ajabu wanaume mnaopinga make up, huwa mnakua na magoma yaliyopiga make up hadi yamekua kama zombi, goma limejikrimu hadi linaelekea kuwa la kijani
. Kuna dada mmoja haonani na watu mchana maana ukimuona usiku na picha zake za instagram ni watu wawili tofauti na utakaemuona mchana.siwezi kuongeza tena mwenza si umesikia hapendi mekapu na mimi bila mekapu hata msalani siendi
so uzalilishaji ni kumbukumbu za utotoniMkuu, Huu ni uzalilishaji sasa!!!
hayo mateso bila chuki. Kuna dada mmoja haonani na watu mchana maana ukimuona usiku na picha zake za instagram ni watu wawili tofauti na utakaemuona mchana.
Anateseka kweli. Mpaka akuone sio mnoko ndo utamuona mchana.hayo mateso bila chuki
Ilikuw mwaka gani mkuu?so uzalilishaji ni kumbukumbu za utotoni
Haha mwambie atembee buana siku akikutana na sisi wenzie tunovyotembea kwa kujiamini atapata nguvu na yeyeAnateseka kweli. Mpaka akuone sio mnoko ndo utamuona mchana.
Tukiwaga nae mchana tukipiga picha ye ndo anaetupiga hataki kutokea. . Saa zingine make up zinatudanganya tunajiona warembo ila tukishazitoa tunajiona uhalisia wetu.Haha mwambie atembee buana siku akikutana na sisi wenzie tunovyotembea kwa kujiamini atapata nguvu na yeye