Jiamini make up ya nini? jiachie na mwonekano wako ukiwa natural

Ukiona mtu kapaka Makeup jua yupo down hivyo anataka awe juu.

Make up ni kwaajili ya kuweka uzuri bandia ili ajifananishe na msichana mzuri. Asilia kubwa wanaofanya hivyo ni wanawake waliokata taa. Eidha anadanga au umri umeenda na uso hautazamiki tena. Kakata senta bolt.

Nawachukia sana. Ukiona mtu anamakeup hakufai labda kuosha rungu tu kisha unasepa.
Khaaa sio kwa povu hili jamani figganigga ina maana ndo nimekukosa nilikuwaga nakumendea
 
Hahaha
Umeonaee... Walau ka Jonson powder
Eeh jamani. Halafu mtu ukipata make up unapendeza bwana. Urembo ni kwa ajili ya mwanamke. Sasa sio mwanaume atoke hata mafuta hapaki na mie hata lipstick kweli?? Anaeniona wa ajabu sawa tu ile mi moyo unafurahia
 
Ukiona mtu kapaka Makeup jua yupo down hivyo anataka awe juu.

Make up ni kwaajili ya kuweka uzuri bandia ili ajifananishe na msichana mzuri. Asilia kubwa wanaofanya hivyo ni wanawake waliokata taa. Eidha anadanga au umri umeenda na uso hautazamiki tena. Kakata senta bolt.

Nawachukia sana. Ukiona mtu anamakeup hakufai labda kuosha rungu tu kisha unasepa.
Hiyo yote iko akilini mwako tu.
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom