Jiajiri kupitia hizo malighafi

Je una uwezo wa kupata tairi mbovu? Chakavu? Kubwa kwa ndogo?
Je unaweza kupata mipira ya matairi ama kamba zake?
Je unaweza kupata masalia yoyote ya tairi au hata chenga zitokanazo na kuchenjua tairi?
Je unaweza kupata soli mbovu za viatu?
Kiasi chochote kwa tani ...malipo si hapa..
Jiajiri kupitia hizo malighafi... Ni kama hizi hapa
Nicheki mimi tu settle terms!View attachment 1903231View attachment 1903232View attachment 1903234View attachment 1903233View attachment 1903235
Habari ya leo mkuu, naweza kupata number yako ? Nataka nikutumie mzigo tukubaliane kuhusu bei
 
View attachment 1917720
IMG_20210831_104217_592.jpg
 
Salaam chief, nimeleta mzigo wa matairi makubwa ya malori lakini watu wa mapokezi wametuambia hawachukui tena matairi makubwa au tukitaka tuwauzie kwa bei pungufu kuliko uliotutajia

Sent from my LG-D690 using JamiiForums mobile app
 
Salaam chief, nimeleta mzigo wa matairi makubwa ya malori lakini watu wa mapokezi wametuambia hawachukui tena matairi makubwa au tukitaka tuwauzie kwa bei pungufu kuliko uliotutajia

Sent from my LG-D690 using JamiiForums mobile app
mkuu mshana tunaomba majibu ya hili,na mie nina mzigo wa matairi ya malori nataka nilete mzigo
 
Salaam chief, nimeleta mzigo wa matairi makubwa ya malori lakini watu wa mapokezi wametuambia hawachukui tena matairi makubwa au tukitaka tuwauzie kwa bei pungufu kuliko uliotutajia

Sent from my LG-D690 using JamiiForums mobile app
Ni kweli kwasasa mzigo umejaa mno na usitishaji umetangazwa kwenye kundi la WhatsApp je hujajisajili humo?
IMG_20210911_130152_020.jpg
IMG_20210911_130155_169.jpg
 
Back
Top Bottom