Muarubaini
JF-Expert Member
- Apr 7, 2012
- 222
- 48
hawa jamaa wanatangaza nafac za ajira wakati tayari wana watu wao. Niliwahi omba nafac pale mara kadhaa na nlikuwa vigezo vyote walivyotaka lakin hata short list hamna, ndipo nlipomuuliza jamaa yangu anafanya pale akasema pale kuingia uwe unajua wakubwa kwan hata yeye Baba yake wanajuana na MD.