zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,216
Sina la Kuongezaa...kuna msemo wa vijana..Nyumba bila kuwa na Choo hiyo si Nyumba..
....Tiririkaaa...
Mashalaah
Yaani shem,
Kama kuna ukweli ati!
Mh hakuna kitu hicho jaman
My wife acha kbs...nundu inawavuruga watu kbs.
Yaani shem,
Kama kuna ukweli ati!
Mh hakuna kitu hicho jaman
uzuri wa mwanamke upo machoni kwa anayemtazama! ingekuwa hivyo mbona tusionayo tusingetazamwa mabarabarani!
makalio yangekuwa mali yangewekwa nyuma hukoo?
Mashalaah
Utawajua kwa maneno yao
Kwani huwa mnafataga nini huko?
Labda tuanzie hapo...
utawajua kwa maneno yao.