JF Woman and Man of The Year 2010: Mchakato Wa Kuwapata

Ni Nani Anafaa Kuwa "JF Man of the Year 2010"?

  • Acid

    Votes: 23 40.4%
  • Kiranga

    Votes: 12 21.1%
  • Nyani Ngabu

    Votes: 22 38.6%

  • Total voters
    57
  • Poll closed .

Ntambaswala

JF-Expert Member
Dec 7, 2008
255
78
Kwako Malaria Sugu,
Kwa kweli nimekuwa nikivutiwa sana na uwezo wako katika kukabiliana na hoja za wapinzani wako au niseme wachangiaji wasiokubaliana na hoja zako. Huna hasira, unajibu kwa kifupi na unajua kuanzisha mada chokonozi.

Kwa kweli MS umefuzu vema katika fani yako hii ya propaganda. Japo hoja zako zaweza kuwa sio sawa upande wangu lakini uwezo wako wa kuziwakilisha katika namna ya kukera na kuudhi unajimudu vilivyo.

Kwa kuwa mimi ni mwanajamvi ambaye bado ni ''learner'' sana nahitaji sana kujifunza mengi toka kwako, maana nataka unifundishe huo ujasiri (sio hoja zako). Sijui kutuma hiyo mnaita PM sijui.. kwa hiyo nakuomba unielekeza naweza kukuona vipi ana kwa ana. Au kama unaweza kunipatia namba yako ya simu. Kwa vile wewe unajua ku pm basi naomba kama hutapenda kunijibu hadharani ni pm basi ili tuonane mkuu.

Nimeweka hapa kwa vile najua ni watu wengi watapenda kufahamiana na wewe na kupata huo utaalmu wako wa propaganda
 
Kuna CHIZI mtaani kwetu. ni maarufu kuliko sisi wote maana huwa anafanya mambo yake bila kuogopa mtu tena hadharani. hajawahi kukasirika watu wanapomhurumia jinsi anavyochakura-chakura majalalani. Tumeshauri ndugu zake wamsitiri ili kuficha aibu maana aibu si yake bali ya nduguze.
 
Kuna CHIZI mtaani kwetu. ni maarufu kuliko sisi wote maana huwa anafanya mambo yake bila kuogopa mtu tena hadharani. hajawahi kukasirika watu wanapomhurumia jinsi anavyochakura-chakura majalalani. Tumeshauri ndugu zake wamsitiri ili kuficha aibu maana aibu si yake bali ya nduguze.

Busara yako ni aina yake. Thank you
 
Kuna CHIZI mtaani kwetu. ni maarufu kuliko sisi wote maana huwa anafanya mambo yake bila kuogopa mtu tena hadharani. hajawahi kukasirika watu wanapomhurumia jinsi anavyochakura-chakura majalalani. Tumeshauri ndugu zake wamsitiri ili kuficha aibu maana aibu si yake bali ya nduguze.

Hongera sana,kwahiyo pale mbowe aliposema mgombea wao ni maarufu kuliko Kikwete alimaanisha.....(ya hapo kwenye nyekundu)teh..teh..teh Mwaka huu machizi wengi!
 
Kuna CHIZI mtaani kwetu. ni maarufu kuliko sisi wote maana huwa anafanya mambo yake bila kuogopa mtu tena hadharani. hajawahi kukasirika watu wanapomhurumia jinsi anavyochakura-chakura majalalani. Tumeshauri ndugu zake wamsitiri ili kuficha aibu maana aibu si yake bali ya nduguze.

Msanii nidai kiombe cha chai !
Pale mtaani kwetu yupo jamaa analewa na kujikojolea kila siku anaitwa Mpogolwe,ni maarufu sana,hata watoto wa chekechea ukiwauliza wanamjua.
Mimi nikishaona hoja ni MS huwa sichafui macho yangu kusoma hata kama ni herufi 2. Anayejibu hoja za MS naye ni MS kiaina.:disapointed:
 
Kuna CHIZI mtaani kwetu. ni maarufu kuliko sisi wote maana huwa anafanya mambo yake bila kuogopa mtu tena hadharani. hajawahi kukasirika watu wanapomhurumia jinsi anavyochakura-chakura majalalani. Tumeshauri ndugu zake wamsitiri ili kuficha aibu maana aibu si yake bali ya nduguze.

Mkuu, kwa hiyo unamlinganisha Malaria Sugu na Chizi!? Sidhani, mimi siyo supporter wa Malaria Sugu, lakini kusema ukweli the guy is smart. Katika post zake zote amejitahidi sana kutoa majibu ya kuudhi na kukera sana pasipo kutumia lugha ya matusi wala kukiuka taratibu za JF. Huyu ni mtu makini sana. Na inawezekana wengi wetu hatujamjua, but anao uwezo mkubwa sana wa kuteka akili za watu na kuzielekeza kule anakotaka yeye. If he is a member of Intelligence system and is trying to collect information for his boss, I would say he performed his duty perfectly. He deserve another cheo. He makes some short and annoying replies which activates somebody to say all what he/she has. Ndo unamwita chizi huyu?
Kuna watu kama Tumain na Junius ambao wamekuwa wakimsupport MS, lakini hakuna hata mmoja kati yao ambaye amemfikia MS kwa umakini wa kutoa kauli za kukera na kuudhi lakini zenye maana.
 
Nimeweka hapa kwa vile najua ni watu wengi watapenda kufahamiana na wewe na kupata huo utaalmu wako wa propaganda

Umeajuaje kuwa wengi watapenda kufahamiana na huyu unayejikomba kwake?Sifahamu jinsia yako but all I can advise you is to be careful...
 
Kwako Malaria Sugu,
Kwa kweli nimekuwa nikivutiwa sana na uwezo wako katika kukabiliana na hoja za wapinzani wako au niseme wachangiaji wasiokubaliana na hoja zako. Huna hasira, unajibu kwa kifupi na unajua kuanzisha mada chokonozi.

Kwa kweli MS umefuzu vema katika fani yako hii ya propaganda. Japo hoja zako zaweza kuwa sio sawa upande wangu lakini uwezo wako wa kuziwakilisha katika namna ya kukera na kuudhi unajimudu vilivyo.

Kwa kuwa mimi ni mwanajamvi ambaye bado ni ''learner'' sana nahitaji sana kujifunza mengi toka kwako, maana nataka unifundishe huo ujasiri (sio hoja zako). Sijui kutuma hiyo mnaita PM sijui.. kwa hiyo nakuomba unielekeza naweza kukuona vipi ana kwa ana. Au kama unaweza kunipatia namba yako ya simu. Kwa vile wewe unajua ku pm basi naomba kama hutapenda kunijibu hadharani ni pm basi ili tuonane mkuu.

Nimeweka hapa kwa vile najua ni watu wengi watapenda kufahamiana na wewe na kupata huo utaalmu wako wa propaganda

so you need a mentor kukufundisha kukera ,kuuzi,kuchokoza watu hapa.........hatari haya ndio uhuru tunaita.
anakera kama all idota wanavyokera so that no good
 
Wanajamvi,
Ninaanza kugundua kuwa hapa watu wanajibu posts bila kuchambua kwa makini kabla ya kuzijibu. Wakati fulani ni vizuri kuelewa maana/lengo ya ujumla la mtu anayepost hoja kuliko kuangalia maana ya neno moja moja katika sentensi.

Nashukuru kuna watu wameweza kubaini nini nakitafuta mmojawapo ni Lukolo. Malaria Sugu sio mtu wa kawaida ninasoma kila posti yake nimebaini ni mtu mwenye weledi wa hali ya juu sana na kila analoliandika basi huweza kuhisi hata majibu ya watu watakaomjibu hivyo anaandaa majibu tayari.

Nina imani yeye mwenyewe amenielewa ndio maana hajajitokeza bado Ieleweke sipendi kabisa hoja zake ila namna anavyojibu. Wakenya wengi hawampendi kabisa spin doctor wa serikali ya Kibaki Dr. Mtua ila wanakubali kuwa jamaa anajua kujibu hoja na kukwepesha mambo japo anachojibu kinakuwa sio cha ukweli. Ndicho nachosema kuhusu Malaria Sugu
 
Kuna CHIZI mtaani kwetu. ni maarufu kuliko sisi wote maana huwa anafanya mambo yake bila kuogopa mtu tena hadharani. hajawahi kukasirika watu wanapomhurumia jinsi anavyochakura-chakura majalalani. Tumeshauri ndugu zake wamsitiri ili kuficha aibu maana aibu si yake bali ya nduguze.

Nimecheka mpaka basi...
 
Kwako Malaria Sugu,
Kwa kweli nimekuwa nikivutiwa sana na uwezo wako katika kukabiliana na hoja za wapinzani wako au niseme wachangiaji wasiokubaliana na hoja zako. Huna hasira, unajibu kwa kifupi na unajua kuanzisha mada chokonozi.

Kwa kweli MS umefuzu vema katika fani yako hii ya propaganda. Japo hoja zako zaweza kuwa sio sawa upande wangu lakini uwezo wako wa kuziwakilisha katika namna ya kukera na kuudhi unajimudu vilivyo.

Kwa kuwa mimi ni mwanajamvi ambaye bado ni ''learner'' sana nahitaji sana kujifunza mengi toka kwako, maana nataka unifundishe huo ujasiri (sio hoja zako). Sijui kutuma hiyo mnaita PM sijui.. kwa hiyo nakuomba unielekeza naweza kukuona vipi ana kwa ana. Au kama unaweza kunipatia namba yako ya simu. Kwa vile wewe unajua ku pm basi naomba kama hutapenda kunijibu hadharani ni pm basi ili tuonane mkuu.

Nimeweka hapa kwa vile najua ni watu wengi watapenda kufahamiana na wewe na kupata huo utaalmu wako wa propaganda

muundo wa sentensi zako unaonyesha na kudhihirisha kuwa wewe Ntambaswala ni malaria sugu in another coat. shame on you!!!!!!
 
Kwako Malaria Sugu,
Kwa kweli nimekuwa nikivutiwa sana na uwezo wako katika kukabiliana na hoja za wapinzani wako au niseme wachangiaji wasiokubaliana na hoja zako. Huna hasira, unajibu kwa kifupi na unajua kuanzisha mada chokonozi.

Kwa kweli MS umefuzu vema katika fani yako hii ya propaganda. Japo hoja zako zaweza kuwa sio sawa upande wangu lakini uwezo wako wa kuziwakilisha katika namna ya kukera na kuudhi unajimudu vilivyo.

Kwa kuwa mimi ni mwanajamvi ambaye bado ni ''learner'' sana nahitaji sana kujifunza mengi toka kwako, maana nataka unifundishe huo ujasiri (sio hoja zako). Sijui kutuma hiyo mnaita PM sijui.. kwa hiyo nakuomba unielekeza naweza kukuona vipi ana kwa ana. Au kama unaweza kunipatia namba yako ya simu. Kwa vile wewe unajua ku pm basi naomba kama hutapenda kunijibu hadharani ni pm basi ili tuonane mkuu.

Nimeweka hapa kwa vile najua ni watu wengi watapenda kufahamiana na wewe na kupata huo utaalmu wako wa propaganda

nimejaribu kuangalia tunaowaita maceleb hapa nchini huyu MS nae anaweza kuwa miongoni mwa hao maceleb...
 
MS ana lake jambo. Hata siku moja haonyeshi kuhamaki, yeye anakurushia tu taratibu uchemkeeee, utoe yaliyo moyoni.
By the way, mbona hujaja kujibu hoja hadi sasa?
 
Huyu MS ni mtu mwenye fikra sahihi na ni mtu mwenye kujifunza tabia za watanzania,anapenda sana kupambanisha wana jamii kwa majibu yenye kuleta hasira kutokana na serekali iliyoko madarakani.
Kwa jinsi nilivyomsoma,huyu ni mtu hatari sana kwa sababu akitoa mada ni upande wa serekali iliyoko madarakani na kuonesha kuwa yeye ni mtu wa ccm lakini sivyo kabisa,wakati mwingine huonesha kama ni mtu wa CUF lakini anabadilika badilika kama kinyonga.

Inawezekana anajaribu kuamsha hasira kwa Watanzania waweze kuelezea jinsi serekali ya Tanzania ilivyochafuka kwa mgongo wa ccm.
Sasa kazi kwako kupambambanua yaliyo kweli na yaliyo pumba.
Ili mtu ajue una tabia gani lazima akuchokoze bila kutaharuki utamwangushia hasira zote na matusi yote ya nguoni kumbe yeye anajifunza kitu kwako.

Ni ukweli usiopingika,Tanzania inahitaji mapinduzi ya kisiasa,bila mapinduzi ya kisiasa hakuna utendaji bora serekalini,hakuna nidhamu ya utawala bora.Kila secta ya serekali wafanyakazi wamelala lakini rais halioni hilo,na si kwamba anapata data kamili,wanamficha Rais hali halisi ya watendaji serekalini.

Watanzania tumeshabandikwa jina la "waoga" tukitishwa nyau kidogo kila mtu anakimbilia ****** kujificha.Mapambano ya kujikomboa ni kujitoa mhanga na siyo lelemama,rejea kauli za Mh Mbowe.Hata JK anazijua hizo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom