Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 23,410
- 36,553
Yeah sure,mambo ya kujudge Dini ya mtu huwa inanikasirisha sana maana Mimi marafiki zangu wa karibu kila mmoja anaimani yake,na hatujawahi kukwazana kwa Dini zetuHiyo ndiyo misingi bora ya maisha, so far huwa naamini matendo ndiyo bora zaidi kuliko dini hizi. Hata kama uko kwenye dini sahihi lakini judgement ni kuhusu matendo yako.