Thad
JF-Expert Member
- Mar 14, 2017
- 13,363
- 31,504
Best mbona tunasemezana wenyewe tu? ina maana watu wote wamelala tumebaki peke yetu?
Huyo haruhusiwi kumilikiwa na mtu binafsi, ujue hiyo ni nyara ya wenye nchi
Best mbona tunasemezana wenyewe tu? ina maana watu wote wamelala tumebaki peke yetu?
Huyo haruhusiwi kumilikiwa na mtu binafsi, ujue hiyo ni nyara ya wenye nchi
Hahaha hebu ngoja nijaribu kuuamini kwa leoAcha waruke ruke kama maharage yanayoanza kuchemka, wakumbuke tu za mwizi ni arobaini..................japo huaminigi hii misemo ya wahenga
Best mbona tunasemezana wenyewe tu? ina maana watu wote wamelala tumebaki peke yetu?
Kweli adui mwombee njaa,yaani leo umekiuka mwiko wako wa kuwaamini wahenga, ili mradi tu Kichwa Kichafu anase?Hahaha hebu ngoja nijaribu kuuamini kwa leo
Hahaha sijasema nawaamini nimesema NITAJARIBU kuwaaminiKweli adui mwombee njaa,yaani leo umekiuka mwiko wako wa kuwaamini wahenga, ili mradi tu Kichwa Kichafu anase?
Hahaha...........umesema nije tulale? Naona una mpango wa kuniziba mdomo nishindwe kuishupalia kesi iliyopo mezani
Na sisi njoo tulale ili tufanye ngoma droo, haiwezekani watufanye sie ndo neti zao
Hahaha sumu haionjwi.........ukijaribu tu kuwaamini,hutakaa uwapinge tenaHahaha sijasema nawaamini nimesema NITAJARIBU kuwaamini
Hahahaha sie ni kulala tu tena fofofoHahaha...........umesema nije tulale? Naona una mpango wa kuniziba mdomo nishindwe kuishupalia kesi iliyopo mezani
Hahaha Bundi Thad naona unaanza kusinzia ina maana zile sumu zinazoonjwa kwenye bongo muvi sio!Hahaha sumu haionjwi.........ukijaribu tu kuwaamini,hutakaa uwapinge tena
Sasa ili wasitushtukie ngoja mimi nitangulie kuondoka hapo,halafu wewe utondoka baada ya lisaa limoja mbele............si eti eeeh!Hahahaha sie ni kulala tu tena fofofo
Kwakweli sina historia ya kuziba midomo ya watu, huo utakua ni utekaji sasa
Hahaha....ina maana hujui kuwa bongo muvi wanafanya vile ili kuonesha kuwa wahenga si lolote si chochote,bali wao ambao ni wahenga wa kesho ndo wasema kweli na msemo wao wa 'jaza ujazwe'Hahaha Bundi Thad naona unaanza kusinzia ina maana zile sumu zinazoonjwa kwenye bongo muvi sio!
Hahaha hapana kwakweli, janja yako nshaishtukia naona dalili za kufungiwa njeSasa ili wasitushtukie ngoja mimi nitangulie kuondoka hapo,halafu wewe utondoka baada ya lisaa limoja mbele............si eti eeeh!
Napata wasiwasi kuwa hukubahatika kucheza kombolela......maana hii ni mbinu ya kuwafanya wenzenu wasishtuke kuwa mlijificha wote kwa masaa kadhaaHahaha hapana kwakweli, janja yako nshaishtukia naona dalili za kufungiwa nje
Hapa tuondoke pamoja tu kama mbwai mbwai
Nyie nendeni tuu siye tumelala wala hatuwaoni, ila kesho mje na maelezo kamiliHahaha hapana kwakweli, janja yako nshaishtukia naona dalili za kufungiwa nje
Hapa tuondoke pamoja tu kama mbwai mbwai
Hahaha hapo kwa wahenga nawaunga kwato ila hapo kwenye Jaza sijui ufanyiwe nini.... Hapana.Hahaha....ina maana hujui kuwa bongo muvi wanafanya vile ili kuonesha kuwa wahenga si lolote si chochote,bali wao ambao ni wahenga wa kesho ndo wasema kweli na msemo wao wa 'jaza ujazwe'
Wapi tena Bundi Ney unaenda?
Nawafuatilia nyendo zenu wewe na ThadWapi tena Bundi Ney unaenda?
Au ndo safari ya kwa jirani?