Hahaha....ina maana hujui kuwa bongo muvi wanafanya vile ili kuonesha kuwa wahenga si lolote si chochote,bali wao ambao ni wahenga wa kesho ndo wasema kweli na msemo wao wa 'jaza ujazwe'
Hahaha hapo kwa wahenga nawaunga kwato ila hapo kwenye Jaza sijui ufanyiwe nini.... Hapana.
Hivi bibie walishawahi kukujaza kweli?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom