Duh, kupumua si ninaingiza na kutoa?

So point hapo ni timeframe. Means hata kwenye chakula naweza kufanya timing nikakutwa na uzito +1.

breathing burns calories yes, hata kulala kitandani all day pia una burn calories...as far as uko hai...
so yes kupumua ni moja ya njia za kupunguza uzito.
ndio timeframe yako inabidi iwe ndogo sana ...
nitofauti na kusimama kwenye scale na kubeba chupa za maji....
 
breathing burns calories yes, hata kulala kitandani all day pia una burn calories...as far as uko hai...
so yes kupumua ni moja ya njia za kupunguza uzito.
ndio timeframe yako inabidi iwe ndogo sana ...
nitofauti na kusimama kwenye scale na kubeba chupa za maji....

Ku-clear doubts zangu nitaifanyia practical hii kitu.

Asante kwa majibu ya kitaalamu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom