At Calvary
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 4,514
- 3,554
💤💤💤💤💤
Duh, kupumua si ninaingiza na kutoa?
So point hapo ni timeframe. Means hata kwenye chakula naweza kufanya timing nikakutwa na uzito +1.
breathing burns calories yes, hata kulala kitandani all day pia una burn calories...as far as uko hai...
so yes kupumua ni moja ya njia za kupunguza uzito.
ndio timeframe yako inabidi iwe ndogo sana ...
nitofauti na kusimama kwenye scale na kubeba chupa za maji....
Ku-clear doubts zangu nitaifanyia practical hii kitu.
Asante kwa majibu ya kitaalamu.
karibu
Hahaha, kabla sijafungua nilishahisi hili ndiyo jibu.
usisahau kuja kufunga lindo......umebakia mwenyewe
Nipo piausisahau kuja kufunga lindo......umebakia mwenyewe
Hata mimiSishei na mtu aisee
Usipite kimya mkuu, tia neno kidogoNapita ...
Dah....nitafungausisahau kuja kufunga lindo......umebakia mwenyewe
Dah,..Nipo aisee
Hujambo RafikiShukrani!
Nina KIU balaa, nataka nikazimue kdgAsubuhi njema wapendwa.
Nina KIU balaa, nataka nikazimue kdg