Latimore Mimo wangeci
JF-Expert Member
- Feb 1, 2019
- 898
- 1,081
ningendako enyewe you really need it,unadai blunt?nikupitishie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kujiconsole nayoHahaha nilijua,,game ilikuwa poa,ni vile PSG wamepata chances na wametumia vyema
Ni kweli kabsa,wala hujakosea tupo kwenye kiping kigumu,acha tukomae na top 4 kwanza,hlf tuone UEFA ya msimu ujao tutakuja na jipya ganiYeah ni kweli ....lakini wale jamaa ni team kubwa na wamejipanga muda mrefu.... Tofauti na nyinyi ambao mnapitia Maputo ya kuwa na coacher mpya ...nikisema kuwa ndio mmeanza kujipanga sinto kuwa nakosea
Hahah uko nayo Latimoreningendako enyewe you really need it,unadai blunt?nikupitishieView attachment 1021017
Hilo sasa ndio suala la msingiNi kweli kabsa,wala hujakosea tupo kwenye kiping kigumu,acha tukomae na top 4 kwanza,hlf tuone UEFA ya msimu ujao tutakuja na jipya gani
Mmmmh nikose.nichekwe ushaiskia ile ngoma tuko bongo bahati mbaya karibu ulayaHahah uko nayo Latimore
Kabsa,vp umeumtazama huo mpambano mkuuH
Hilo sasa ndio suala la msingi
Hahah do it broMmmmh nikose.nichekwe ushaiskia ile ngoma tuko bongo bahati mbaya karibu ulaya
i dont do.that,lakini huku ziko mob,but sizipendi,hizo ndo zako?
Hapana chief . kwanza kama nisingekuuliza ..hata matokeo yenyewe nisinge yajua saahizi ....nilishasahau kama man na PSG ni leoKabsa,vp umeumtazama huo mpambano mkuu
Eeeh si huku haiezi fanyika ,si tulisoma vitabu setbooks zetu zenye.tulisoma zilikuwa written by kenyans na mbili written by whites but nigerians,waende kwao wajiweke vidole,we cant read anything nigerian,umesoma kidagaa kimemwozea ama the river between?their both kenyan
Nafarijika kuona kuwa ningali katika kumbukumbu zako
Hahah so ukaona acha upee.nigeriaSijasoma chochote kutoka Kenya, nilikuwa naona kama nitawapa sifa nikisoma kitabu cha Kenya au Uganda.
Ok sawa broHapana chief . kwanza kama nisingekuuliza ..hata matokeo yenyewe nisinge yajua saahizi ....nilishasahau kama man na PSG ni leo
Haha hapana broi dont do.that,lakini huku ziko mob,but sizipendi,hizo ndo zako?