Poa.Sawa
Poa.Sawa
whats up na nyinyi?ni beef nini?na hii giza yotePoa.
ukisema.una mrusha roho,una mean nini,to be specific?juu mi naichukulia literally and haimake senseHamna beef....napenda vile navyomrusha roho Zurri huwa napata furahi
Aisee wewe fanya uvuke boda uje katia mazee ya huku ufundishwe swahiliukisema.una mrusha roho,una mean nini,to be specific?juu mi naichukulia literally and haimake sense
Ni tricky language barrier inaeza fanya wanikatae,hadi nikiongea mabheste wangu huwa hawaskii vizuri ni nini nasema wanasema ati mi hukula maneno,,kweli manzi wa huko si ataniacha the first dayAisee wewe fanya uvuke boda uje katia mazee ya huku ufundishwe swahili
Hahah mtu aki greetiwa in the name of Ognubali yeye hujibu aje?Igwe ama?People of this land, I greet you in the name of Ognubali.
Hahah mtu aki greetiwa in the name of Ognubali yeye hujibu aje?Igwe ama?
Shit!!bro thats creative,i like that,so i guess nafaa ku answer Igwe hahah,you got me on this oneHahaha, nakumbuka tu kwamba Ognubali is a god of night, and this thread suits that.
Duhh hiyo avatar kweli umetuamuliaHabar za saa hii ndugu zangu
Shit!!bro thats creative,i like that,so i guess nafaa ku answer Igwe hahah,you got me on this one
PSG na Al Ahly hao,,,acha tu mkuuDuhh hiyo avatar kweli umetuamulia
Hahaa...inamaana man u mmechapwa au ?PSG na Al Ahly hao,,,acha tu mkuu
Kwema huko?
Hahaa...inamaana man u mmechapwa au ?
Ni tricky language barrier inaeza fanya wanikatae,hadi nikiongea mabheste wangu huwa hawaskii vizuri ni nini nasema wanasema ati mi hukula maneno,,kweli manzi wa huko si ataniacha the first day
Duhh ...kwahiyo solkijier nayeye kaonja machungu Leo...jamaa si walikuwa na majeruhi wengi tu waleMbili bila mzee,,tumepigwa kama tumesimama vile hahah