Nigendako
JF-Expert Member
- Dec 1, 2017
- 23,297
- 122,384
Kabsa,,Mungu hakitupi kiumbe chake wallahndio mkuu zinaonekana vyema, dah ila Mungu kakapigania mpaka kamefika hapo
Kabsa,,Mungu hakitupi kiumbe chake wallahndio mkuu zinaonekana vyema, dah ila Mungu kakapigania mpaka kamefika hapo
😁😁kulikoni tena ,amekuwa chura
***** alafu yuko poa tu
Kabsa aiseeHapo siyo starehe tena ni utumwa
Lakini kama anakafuraha machoni!suti tupa kule
😁😁😁Lakini kama anakafuraha machoni!
Nipo Diamond Kona ya Bwiru Mwanza. Kama kuna memba aliyekosa usingizi aje hapa nimpe.story za haa na pale!0129 hrs namsikiliza Minnie Riperton na Loving you
Mkuu hapo hamna raha ni matesoRaha jipe mwenyewe
Hii ishawahi nikuta hii,View attachment 977438wapambanaji hawa
Karibu mkuuNimejikuta tu nipo humu
😁😁😁 pole sanaHii ishawahi nikuta hii,
Nashtuka wife ananiambia hongera
Nilimkatalia kata kata,akanionyesha pic
Asante AiiseeKaribu mkuu
Uzi muhimu sana huu mkuuNimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmoja wapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nn kwa wakati huo baada ya kukosa usingizi.Muda wa jukwaa ni kuanzia saa 6 usiku mpaka 11Asbh. Mimi hapa leo tangu nimeamka nimeamua nakunywa maji na kwenda kukojoa tu mpaka kukuche!
Mwanza nataman kufika sana pande hizo,mwakani nitajitahidi nifike huko mkuuNipo Diamond Kona ya Bwiru Mwanza. Kama kuna memba aliyekosa usingizi aje hapa nimpe.story za haa na pale!