Jf: Tuanzishe ukurasa wa saini kudai katiba mpya

MAMMAMIA

JF-Expert Member
Feb 26, 2008
3,811
1,603
Mengi tumeshasema kuhusu umuhimu wa kuwa na Katiba Mpya, lakini mawazo yetu ni ya mtu mmoja mmoja ingawa tunakuwa wengi pale tuanpochangia hoja.

Ninachopendekeza kwa "Experts" wa mtandao huu, watuanzishie ukurasa ambao tutaorodhesha majina na kusaini ili kufikia watu milioni moja na zaidi ili yapelekwe bungeni ikiwa kama ni mchango wetu katika hoja na haja ya kudai Katiba Mpya.
 
kusaini haisaidii tunao great thinkers humu jamvin wanaoweza kutengeneza rasimu ya katiba mpya inayoweza kuonesha ni vipengele gani tuvibadili ili kuitwa katiba mpyaaa kabisa na ili kupambana na hoja kama za akina kombani, mwinyi na wengineo ambao wanajua kwa kuundwa katiba mpya kuna hatari ya ICC kuja Tanzania.
Kuna watu katiba imewaruhusu kugeuza nchi hii ya kwao na wanaweza kufanya watakavyo kuanzia rasimali za nchi hii na uongozi-yaaani wameamua kuwa wanarithishana.
CCM wana kundi la watawala na wapiga makofi lakini ccm ina members 5 miliion wakati watanania tupo 42 miliion -sasa lazima tuje na mawazo ya kimkakati sio kusaini haitoshi tuanze na msingi kuainisha mapungufu ya katiba ya sasa ili kushinkiza katiba mpya.

LAZIMA WAJITOLEE WANAJF AU CHADEMA MANAKE IKO KWENYE ILANI YA CHAMA WATENGENEZE RASIMU YA KATIBA MPYA INAYOPAMBANUA KILA OUZO WA KATIBA YA SASA HALAFU TUISAMBAZE. TUPO TEYARI KUTEMBEA KWA MIGUU MTAA HADI MTAA NYUMBA KWA NYUMBA TANZANIA NZIMA KUELEZA KWANINI TUNAHITAJI KATIBA MPYA.
 
kusaini haisaidii tunao great thinkers humu jamvin wanaoweza kutengeneza rasimu ya katiba mpya inayoweza kuonesha ni vipengele gani tuvibadili ili kuitwa katiba mpyaaa kabisa na ili kupambana na hoja kama za akina kombani, mwinyi na wengineo ambao wanajua kwa kuundwa katiba mpya kuna hatari ya ICC kuja Tanzania.
Kuna watu katiba imewaruhusu kugeuza nchi hii ya kwao na wanaweza kufanya watakavyo kuanzia rasimali za nchi hii na uongozi-yaaani wameamua kuwa wanarithishana.
CCM wana kundi la watawala na wapiga makofi lakini ccm ina members 5 miliion wakati watanania tupo 42 miliion -sasa lazima tuje na mawazo ya kimkakati sio kusaini haitoshi tuanze na msingi kuainisha mapungufu ya katiba ya sasa ili kushinkiza katiba mpya.

LAZIMA WAJITOLEE WANAJF AU CHADEMA MANAKE IKO KWENYE ILANI YA CHAMA WATENGENEZE RASIMU YA KATIBA MPYA INAYOPAMBANUA KILA OUZO WA KATIBA YA SASA HALAFU TUISAMBAZE. TUPO TEYARI KUTEMBEA KWA MIGUU MTAA HADI MTAA NYUMBA KWA NYUMBA TANZANIA NZIMA KUELEZA KWANINI TUNAHITAJI KATIBA MPYA.
Ni wazo zuri, la muhimu ni Watanzania wenye uchungu na nchi hii tujitolee kusafisha uoza huu uliodumu miaka 49 sasa.
 
Mengi tumeshasema kuhusu umuhimu wa kuwa na Katiba Mpya, lakini mawazo yetu ni ya mtu mmoja mmoja ingawa tunakuwa wengi pale tuanpochangia hoja.

Ninachopendekeza kwa "Experts" wa mtandao huu, watuanzishie ukurasa ambao tutaorodhesha majina na kusaini ili kufikia watu milioni moja na zaidi ili yapelekwe bungeni ikiwa kama ni mchango wetu katika hoja na haja ya kudai Katiba Mpya.
Come on guy ukurasa huo upo mkuu fuata link hii usaini: TUNAHITAJI KATIBA MPYA Petition
Na kama una jamaa zako ambao hawawezi kufikia internet download hii pdf View attachment katiba_mpya.pdf kisha tengeneza fomu hiyo watumie nao wajiorodheshe wakutumie kisha uitume kama ilivyoelekezwa kwa: katibatanzania@gmail.com
Nadhani kila kitu kiko clear mzee. Wasaidie na wengine.
 
Back
Top Bottom