MAMMAMIA
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 3,811
- 1,603
Mengi tumeshasema kuhusu umuhimu wa kuwa na Katiba Mpya, lakini mawazo yetu ni ya mtu mmoja mmoja ingawa tunakuwa wengi pale tuanpochangia hoja.
Ninachopendekeza kwa "Experts" wa mtandao huu, watuanzishie ukurasa ambao tutaorodhesha majina na kusaini ili kufikia watu milioni moja na zaidi ili yapelekwe bungeni ikiwa kama ni mchango wetu katika hoja na haja ya kudai Katiba Mpya.
Ninachopendekeza kwa "Experts" wa mtandao huu, watuanzishie ukurasa ambao tutaorodhesha majina na kusaini ili kufikia watu milioni moja na zaidi ili yapelekwe bungeni ikiwa kama ni mchango wetu katika hoja na haja ya kudai Katiba Mpya.