JF: The only place you can meet real beautiful women

Huo uliousema Mkuu ndio ukweli halisi wa wanawake walio wengi wanaopatikana jf na kama wapo nje ya ulichokiandika basi ni wachache.

Ila niwe mkweli kwa sifa hizi hii siku ya leo itakuwa nzuri humu jf japokuwa kuna wapingaji wanaojifanya kuwafahamu wanawake wa jf kwa hisia watakuja kubisha
Good nitafute pm tuzungumze
 
This may be too real to be true to you... But that's the reality! Take it from me....

Ngoja niandike tu kibantu! Uzuri una tafsiri pana.. Kuna urembo na kuna Uzuri.... Mwananke anaweza kuwa mrembo lakini asiwe mzuri na mwanamke anaweza kuwa mzuri lakini asiwe mrembo... Uzuri ni kitu cha asili lakini urembo ni kitu cha ziada cha kuongezea... Uzuri hauuzwi ila urembo unauzwa...

Jamii forums ina wanawake wazuri na warembo pia pengine kuliko mtandao mwingine wowote... Usichukulie uzuri kwa tafsiri yako ya macho makubwa legevu, mashavu na lips nene, kifua mwiba, kiuno nyigu, mguu chupa ya bia na tako nundu ya ng'ombe... Huu ni uzuri kulingana na mazoea.. Kwingine vigezo sio hivi... Nazungumzia uzuri wa roho... Na upstairs kwenye medulla...... This is the real beauty....!!!

Huko kwingine kuna wazuri na warembo kweli lakini roho zao ni chafu kuliko banda la kitimoto na upstairs ni sifuri kwenda negative 0... Ndio maana kule kazi ni moja tu mapicha wakiwa bafuni, mapicha wakila vya ofa, mapicha na nguo cm ama magari ya kuazima..

Hawana cha maana cha kupost zaidi ya picha za makalio na fake life, umbea vijembe kutambiana na sifa za kijinga.... UPUUZI HUU HUWEZI UKUTA HAPA JF...

beauty without brains! Tabia chafu, roho mbaya chafu. Akili chafu... There is no prettiness in there.. There is no beauty in there... Huwezi kujivunia kiumbe wa namna hii.. La sivyo unapaswa kuombewa.... JF ni sehemu tofauti kabisa, JF can mould you from ugliness to prettiness, JF can shape you from bad looking to a wonderful beauty.... JF woman are wonderful with beauty and pettiness... I adore them all.....

We are yet in another year... Changamoto zetu hazitakoma.. Ups n downs zitakuwepo... Wadanganyifu na matapeli wa ndoa wataongeza... But all in all atakayefanikiwa kupata mke JF amepata mke mwema.....

Long live JF flowers...!!!! Ladies with beauty and brains...
Nawapenda sana

Jr

Wow!!!! wow!!!! Wow!!!! I've been touched by this post. Thanks. Now I understand you, you are a real man. Wewe ni mwanaume ndio maana unaelewa uzuri halisi, ila wavulana hawataweza kukuelewa kwa hiki ulichokiandika.
 
acha kupaka watu chupa kwa mgongo wa mafuta..JF ndio collection ya mi mama na mi dada iliyoshindikana uraiani, imeachika au misingo maza...age za wanawake JF ni 35 - 45. Kuliko na warembo ni Insta ambako unaona hadi picha na video zao...unamsifiaje mtu mzuri wakati ana ID fake, Avatar fake nk? Nimesharamba wanaJF almost 43, yoote ni mashangingi ila ina majina makubwa hapa...sio vizuri kuwaanika, ila wachache nitawasema:

Miss natafuta ni li tungunyema linaishi mbezi kazi yake kudanga mitandaoni, Nifal aliolewa na The bold, ana sura ila flat screen, Money penny lina watoto 3, Mamdenyi ni lialimu Arusha ndani ndani huko (usa river), emmyta ni lishangingi lipo buguruni pale sheli n.k.
Doòooh.
 
mshana kuna makopo pia humu...

kitu kibaya kuhusu JF watu wengi, in this case wanawake wa JF wanaishi maisha ya pande mbili za sarafu...

huku jukwaani ni watakatifu (ili mshana jr na wengine wawasifie na kuwaona walimbwende haswa)

lakini jukwaa la PM ni washenzi wa tabia kuliko ushenzi wenyewe, wanafanana na hao unaowasema hawafai...
Kila mtu akiwa eneo la siri anafanya mambo ya ajabu ambayo huwezi mdhania. Kinachotakiwa ni mtu kujitambua pale alipo. Ukiwa jukwaa la dini utaongea dini, ukiwa jukwaa la siasa utaongea siasa, ukiwa PM hata ukituma picha ya utupu si mbaya sababu kule ni sirini. Tatizo watu hamjui jinsi ya kubance kuishi kwenye jamii. Ukiwa roma ishi kama waroma. Kuna watu wana ujinga mwingi sana huku nje ila wakija JF wanaishi kama wanaJF kwa kujitahidi kuonyesha busara japo kidogo
 
Back
Top Bottom