JF studio_kipindi hewan....tutakuwa na gfsonwin atazungumzia mgomo wa Walimu..

mkiona kimya mgeni wangu yupo busy sana mpaka hapa stdio...anaongea sana na simu Mara anataja Leaderz mara Gari nyeusi,wasikilizaji Muwe na Sabra au subira
 
sawa kabisa mnaweza mkawa mmefanya maamuzi mazuri kwa kudai haki yenu.

Katika migomo kuna usaliti na tumeanza kuona na kupata taarifa kuwa kuna watu au walimu hasa wakuu wa shule kutoshiriki mgomo. Hili unalizungumziaje?

Na swala ambalo nimelipata muda si mrefu kuwa kuna ongezeko katika mshahara, je ni kweli?
rutta wakuu wa shule zote nao ni waalim kama sisi, na wanatakiwa kugoma ila sasa kwasababu nafasi zao wakati wa kuchaguliwa kuwa wakuu wa shule hupitia njia tofauti kabisa na walivyo chaguliwa waali manake hawa ni appointees basi wao kwako ni mtego sana wachache sana wenye moyo wanaona ni kawaida wakiingia na hawaogopi ila wengi wao wanahofia. tulicho washauri ni kwamba waupige chini ukuu wa shule manake unadhamana kubwa sana kisha watujoin kama waalim wa kawaida.

ukiangalia kwa umakini utagundua kwamba mkuu wa shule ndiye aliyekabidhiwa shule majengo samani na vingine leo hii akilala nyumbani halafu kule wanafunzi wakafanya fujo wakaharibu mali za shule jamania maisha yake yatakuwa hatiani sana. tumewashauri kwakua wanaumoja wao wa TAHOSSA basi wa declare kuupiga chini ukuu wa shule ama watume halmashauri kulinda majengo yao wao watujoin ila kuingia kama sisi ni hatari kwao.

kuhusu nyongeza ya mshahara sijakuelewa unamaanisha mshahara wa mwezi huu ama tunataka nyongeza ya mshahara?
 
rutta wakuu wa shule zote nao ni waalim kama sisi, na wanatakiwa kugoma ila sasa kwasababu nafasi zao wakati wa kuchaguliwa kuwa wakuu wa shule hupitia njia tofauti kabisa na walivyo chaguliwa waali manake hawa ni appointees basi wao kwako ni mtego sana wachache sana wenye moyo wanaona ni kawaida wakiingia na hawaogopi ila wengi wao wanahofia. tulicho washauri ni kwamba waupige chini ukuu wa shule manake unadhamana kubwa sana kisha watujoin kama waalim wa kawaida.

ukiangalia kwa umakini utagundua kwamba mkuu wa shule ndiye aliyekabidhiwa shule majengo samani na vingine leo hii akilala nyumbani halafu kule wanafunzi wakafanya fujo wakaharibu mali za shule jamania maisha yake yatakuwa hatiani sana. tumewashauri kwakua wanaumoja wao wa TAHOSSA basi wa declare kuupiga chini ukuu wa shule ama watume halmashauri kulinda majengo yao wao watujoin ila kuingia kama sisi ni hatari kwao.

kuhusu nyongeza ya mshahara sijakuelewa unamaanisha mshahara wa mwezi huu ama tunataka nyongeza ya mshahara?

yaah nimeona bandiko jukwaa la siasa kuwa kuna ongezeko kama Tsh 30000 je ni kweli?
Na ikumbukwe watu ambao wangefanya mgomo huu ni walimu wa kuu sasa napata mkanganyiko mgomo huu kuwa na nguvu kama walimu wa kuu hawata shiriki kwani ni nguzo muhimu! Unaonaje hapa

je serikali ikisema kuwa mwalimu atakaye goma kufanya kazi amepoteza kibarua kama ilivyo kuwa kwa madaktari! Kwa hili mmejiandaa vipi? Je mko tayari kupoteza vibarua?
 
yaah nimeona bandiko jukwaa la siasa kuwa kuna ongezeko kama Tsh 30000 je ni kweli?
Na ikumbukwe watu ambao wangefanya mgomo huu ni walimu wa kuu sasa napata mkanganyiko mgomo huu kuwa na nguvu kama walimu wa kuu hawata shiriki kwani ni nguzo muhimu! Unaonaje hapa

je serikali ikisema kuwa mwalimu atakaye goma kufanya kazi amepoteza kibarua kama ilivyo kuwa kwa madaktari! Kwa hili mmejiandaa vipi? Je mko tayari kupoteza vibarua?

hiyo ipo na kila mwaka huwaga kuna increment fulan ambayo kwangu mimi sion kama huwa natija sana manake kodi yake ni kubwa kias kwamba haina manufaa kwa anayepokea. hebu rutta fikiri unapokea hiyo 30000 kisha unakatwa kodi na makorokocho mengine unajikuta umebakiwa na 5000 kweli ili ni ongezeko ama?

hapana si kweli kwamba watu ambao wangefanya mgomo huu ni wakuu wa shule. wakuu wa shule ni kundi tofauti kabisa hapa na ndio maana wana chama chao tahossa. hawa ni wachache san ukilinganisha na sisi waalim wa kawaida ingawa wao ndio waliokabidhiwa shule. Nguvu ipo sana kwa wao kutokushiriki manake pia sisi hatutaki mwisho wa siku uharibifu utokee hasa kwenye majengo na samani. Ikumbukwe kwamba nia yetu ya kugoma siyo kuharibu mali za serikali ama kujeruh watu bali akushnikiza serikali itendee kazi matakwa yetu.

serikali ikaiamua kufanya kama ilivyofanya kwa madaktari pia ni sahihi manake sisi tunaringia vyeti wala syo ajira. na takuwa ni serikali ya kipumbavu kama akikimbilia kufukuza waalim wakati wana upungufu wa waalim kuliko maelezo na itakuwa wanaonyesha jinsi wasivyojua kufikiri na jins ambavyo ni wavivu wa kutumia akili.

tunachosisitiza ni kwamba hoja zetu za msingi zisikilizwe na kutendewa kazi tumechoka kuwa watumwa kwenye nchi yatu. infact ukiangalia maisha ya waalim hasa wa vijijini utalia rutta halaf utakuta mbunge wake anakaa kukamua hadi 10 mil yeye choo hana na hata allowance ya kufanya kaazi katika mazingira maguamu hana.
 
Last edited by a moderator:
hellow napiga simu kutoka kijiji cha itigi. sisi huku kwetu tunasikia mgao wa umeme, wengine wanasema ana umeme, yaani mimi sielewi kitu. swali langu ni mgao ni nini? na viongozi wanaoeneza huo mgao wanachaguliwa na nani? tunaomba muwaambie wafike hata huku vijijini sio wakae mijini tu. asanteni sana. naweza kutuma salaam?. Mia
 
gfsonwin kumbe ni ticha? Hafu unajibu kwa kujiaminiiii. Naogopa wasije kukutoa kafara.
 
Swali lingine kwa mgeni!
Tumekuwa tukisikia walimu kuto udhuria vipindi na wengine kuto onekana maeneo yao ya kazi kwa vipindi virefu mpaka wengine ufikia kufanya biashara zingine na kuacha vipindi mashuleni, lakini inapokuja swala la kudai maslai yao wana kuwa wakali. Hili una liongeleaje? Na unatoa wito gani kwa walimu wa namna kama hii ambao wanapenda kutendewa haki na wao hawapendi kutenda haki?
 
Poleni waalimu na hongereni kwa mgomo.
Sasa mgeni, swali langu ni hili;

*Serikali ni mwajiri wako, na kawaida kama utahisi au ukiona kuwa mwajiri wako hakupi kipato cha kutosha au hakutendei haki ktk kazi yako hiyo, Kwa nini usiache kazi tu??
Mi nahisi ndiyo njia nzuri ya kumfanya ajiulize kuwa kwa nini umkimbie..hivyo atakuita na kukujali kuliko kumgomea kufanya kazi yake..Au nimekosea
 
Swali lingine kwa mgeni!
Tumekuwa tukisikia walimu kuto udhuria vipindi na wengine kuto onekana maeneo yao ya kazi kwa vipindi virefu mpaka wengine ufikia kufanya biashara zingine na kuacha vipindi mashuleni, lakini inapokuja swala la kudai maslai yao wana kuwa wakali. Hili una liongeleaje? Na unatoa wito gani kwa walimu wa namna kama hii ambao wanapenda kutendewa haki na wao hawapendi kutenda haki?

Kaenda kumpa haki yake babito wake then atarudi.
 
Back
Top Bottom