JF special thread kwaajili ya Facts

Miaka ya Zamani Huko Samoa ilikuwa kabla ya Harusi Chifu Anamuingizia Vidole ukeni Bibi Harusi Hadharani ili kujua Kama Ni bikra au laah. Kama sio bikra hakuna ndoa. Anatangazwa mji mzima ili asifuatwe na Mwanaume mwingine kumuoa. Huko Roma ilikuwa unazikwa mzima mzima
 
Zimefanyika tafiti mbalimbali za kiafya na kugundulika kwamba asilimia kubwa ya wanaume na (wanawake,hasa kwa wanaoridhika na tendo) ambao hushiriki tendo kati ya mara 1&2(hasa mara 2) kwa wiki,wanauwezekano mdogo kupata mshituko wa moyo(heart attack) ukilinganisha na wale wanaokaa muda mrefu bila ya kushiriki tendo.Pia inaaminika kuwa tendo ni aina ya mazoezi ambayo huufanya moyo kuwa imara.

hupunguza shinikizo la damu,hupunguza mawazo na humfanya mtu kuwa na usingizi mwanana.
 
Rais wa US 1963-1969 Lyndon Johnson Alikuwa Anapenda Kuutolea Mfano Uume Wake Kuelezea Vitu. Alijinadi Kuwa ana Uume Mkubwa, Yeye ni Mwanaume, na Aliupatia Jina la 'Jumbo'. Siku Moja Alisema Kuwa Vita ya Vietnam Inaendelea Kwasababu ya Uume wake, siku moja pia alisema wanajeshi wake wafanye kazi kama Jumbo. Johnson alikuwa aina ya mtu ambaye hakupenda kuambiwa hapana, akisema amesema, alifariki January 22, 1973 (64).
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom