JF Security Breach?

Invisible

Robot
Feb 11, 2006
9,075
7,878
Not at all...

Kuna topic iliwahi kuanzishwa hapa na mwanachama akilalamika kuwa JF haiko salama na iko uchi, sikujibu kitu nikaacha wadau wamjibu ili kuona wangapi wanaelewa kinachoendelea.

Kwa manufaa ya wengi naomba nijaribu kuweka bayana mambo yafuatayo:

Kuna aina mbalimbali za mawasiliano ndani ya JF. Si rahisi na naomba kusisitiza si rahisi kuwa na upenyo wa mtu kusoma ujumbe wa mtu bila hiari ya mtu mwenyewe.

Namaanisha kuwa, ukitumiwa Private Message ukii-forward kwa mtu basi umeyataka mwenyewe hukulazimishwa! That's not a breach. Kwa wale wanaodhani wanaweza kuona Private messages za wengine basi wajaribu na wakifanikisha watufahamishe ili tufanye marekebisho ya haraka sana...

Private messages can be read thru Private Messages

Kwa ambaye hajajisajili hawezi kuona kitu hapo, labda aliyejisajili ndiye anaweza kuona na kujikuta badala ya kwenda kwenye Private Messages za mwenzake anadondokea kwake!

Kuna kitu kipya ambacho kilipowasili ndani ya JF tulikitambulisha kwenu na kuwambia kinaitwa Profile Visitor Messages. Hiki kinawachanganya wengi na wengine wakikiona wanadhani ndio wameona Private Messages za mtu.

Mfano: Ukitembelea Profile ya Invisible hapa: JamiiForums.com - View Profile: Invisible utakutana na baadhi ya jumbe zikiwa zimelenga mambo mbalimbali ambayo ni kwa ajili yangu kubadilishana na wanachama na ziko wazi kwa yeyote ili ajue nikiongea pembeni na watu huwa naongea nao nini na kivipi. Nimeziacha wazi kwa mapenzi yangu!

TAHADHARI: Ukiwa na ujumbe binafsi (ambao hutaki uonekane kwa wengine) usiandike kwenye Profile ya mwanchama yeyote kwani unaonekana kwa kila mtu. Ukiandika huko ni kumsalimia kwa kawaida na huoni kuna cha kuficha. Kama unajua wengi huwa wanakosea na kuandika vitu personal kwenye profile yako tafadhali nenda kwenye User CP na ondoa option ya kupokea Visitor Messages ili waache kumwaga mchele katika kuku wengi kwani ziko wazi kwa kila mtu hata ambaye hajajisajili.

Heri nimewafahamisha...
 
Mkuu, je haiwezekani kuwawekea member notice kwenye kila window ya composition kwenye hizo profiles?.... unaweza ukaziandika hata kwa kiswahili na kuwajulisha kuwa kila kitu watakacho andika kwenye profile page ya mtu kitaonekana.... some sort of a warning..

Post hii imenikumbusha post moja iliyohusiana na hili hapo kitambo:

https://www.jamiiforums.com/complai...jamii-forums-iko-uchi-hakuna-usiri-wa-pm.html

Ni hayo tu. Shukrani.
 
Mkuu, je haiwezekani kuwawekea member notice kwenye kila window ya composition kwenye hizo profiles?.... unaweza ukaziandika hata kwa kiswahili na kuwajulisha kuwa kila kitu watakacho andika kwenye profile page ya mtu kitaonekana.... some sort of a warning..

Post hii imenikumbusha post moja iliyohusiana na hili hapo kitambo:

https://www.jamiiforums.com/complai...jamii-forums-iko-uchi-hakuna-usiri-wa-pm.html

Ni hayo tu. Shukrani.
Naikumbuka hiyo post mpwa,

Sema nafikiria kitu kingine... Tuondoshe kabisa hiyo option? Lakini ilikuwa sehemu murua kabisa ya kubadilishana mawazo pembeni huku mkijiachia na bila kificho. Wengine wanajifunza zaidi tokea huko.

BTW: Wale ambao walikuwa wanatumia hiyo badala ya PM waache haraka kwani inaleta usumbufu kwa wale wanaowatumia. Send a Private Message and not a Visitor Message maana wale wakodoleaji wanadhania ndo wameweza kuona PM za watu wa JF huku wakichekelea kwelikweli... Msiwape raha kiwango hicho :)
 
Tunafurahi kupata wageni, sasa mtu akisoma kwani ananenepa jamani. Nadhani option ya SteveD hapo ni nzuri. Kuwaalert kuwa hizo message ni open for each and everyone anayetembelea hapo. Labda kama kuna sababu nyingine ya kiufundi.
 
Naikumbuka hiyo post mpwa,

Sema nafikiria kitu kingine... Tuondoshe kabisa hiyo option? Lakini ilikuwa sehemu murua kabisa ya kubadilishana mawazo pembeni huku mkijiachia na bila kificho. Wengine wanajifunza zaidi tokea huko.

BTW: Wale ambao walikuwa wanatumia hiyo badala ya PM waache haraka kwani inaleta usumbufu kwa wale wanaowatumia. Send a Private Message and not a Visitor Message maana wale wakodoleaji wanadhania ndo wameweza kuona PM za watu wa JF huku wakichekelea kwelikweli... Msiwape raha kiwango hicho :)

Hapana, nakusihi usiiondoe... a warning should work and should be more appropriate. My reason, first personal: kuna mengi nimeshaandika kule and i wouldn't wanna lose anything and i think i share this feeling with many other members. Second: Service ukiianzisha ni bora kuimaintain, the price you pay here is to only code a notification for those using it. Since service hiyo ina option tayari kwenye Control panel, then that can be enabled as a default setting for new members and those already in use of.

Ahsante.

SteveD.
 
Ukitembelea profile ya SteveD katika maoni ya visitors wake, unaweza kuingia wivu...:D
 
Ni kweli bwana hapa ni lazima watu wawe waangalifu sana maana mimi niliwahi kuingia mkenge kama huo kwa kumuandikia mtu vistors message nikidhani ni PM.
Nilisaidiwa na mpendwa member mmoja na nikaerkebisha haraka kosa langu.
Hapa ni vema watu wajue risk iliyopo kati ya vistors message na Private message
 
kuna jambo lingine watu hawajaambiwa unapofungua jf alama ya remember me ? inakuwa iko active kwahiyo ukilog off halafu mwingine akija akitumia pc hiyo hiyo ataona account yako hii nimeona sana haswa katika internet cafe wanachama wa JF wanalog in na kuacha remember me halafu inakuwa taabu

muwe makini sana
 
Hapana, nakusihi usiiondoe... a warning should work and should be more appropriate. My reason, first personal: kuna mengi nimeshaandika kule and i wouldn't wanna lose anything and i think i share this feeling with many other members. Second: Service ukiianzisha ni bora kuimaintain, the price you pay here is to only code a notification for those using it. Since service hiyo ina option tayari kwenye Control panel, then that can be enabled as a default setting for new members and those already in use of.

Ahsante.

SteveD.

......kweli SteveD....gymnastics zako kule ni baab kubwa.......Invisible just maintain the service........we will be just fine
 
Hapana, nakusihi usiiondoe... a warning should work and should be more appropriate. My reason, first personal: kuna mengi nimeshaandika kule and i wouldn't wanna lose anything and i think i share this feeling with many other members. Second: Service ukiianzisha ni bora kuimaintain, the price you pay here is to only code a notification for those using it. Since service hiyo ina option tayari kwenye Control panel, then that can be enabled as a default setting for new members and those already in use of.

Ahsante.

SteveD.

I second this point.
Safi sana mkuu.
 
Back
Top Bottom