Maxence Melo
JF Founder
- Feb 10, 2006
- 4,230
- 13,414
- Thread starter
- #41
Hakuuliza hivyo, lakini nimhakikishie kuwa hakuna kitu kama hicho. 2015 tuliposhambuliwa tulitoa taarifa na maandalizi ya sasa ni katika kuhakikisha hali hiyo haijirudiiHujaelewa swali lake mkuu. Anataka kujua ni kwann kila ikifika au kukaribia kipindi cha uchaguzi JF inazimwa?