Maxence Melo
JF Founder
- Feb 10, 2006
- 4,230
- 13,414
- Thread starter
- #21
Hii unaweza kupendekeza kwenye Jukwaa Husika ili isipite bila kufanyiwa kazi.Mbona hamtaki kuongeza Jukwaa la Jf safari?
Asante
Hii unaweza kupendekeza kwenye Jukwaa Husika ili isipite bila kufanyiwa kazi.Mbona hamtaki kuongeza Jukwaa la Jf safari?
Hilo halitatokea.Sawa ila mmalize muda huo kama mlivyo panga, isije fika kesho holaa, wengine humu ndio kijiwe chetu.
Itakuwa muda mfupi, naamini haitawaathiri sanaNdugu walinzi wa jf usiku wa manane poleni sana.
Nani kasema JF itazimwa kabisa siku ya Uchaguzi? Au ndio unauliza?Melo asante kwa taarifa swali wakati wa uchaguzi au siku ya uchaguziJF inazimwa kabisa kuna nini?
Kikubwa usisahau ignore list.Itakuwa muda mfupi, naamini haitawaathiri sana
Hujaelewa swali lake mkuu. Anataka kujua ni kwa nini kila ikifika au kukaribia kipindi cha uchaguzi JF inazimwa?Nani kasema JF itazimwa kabisa siku ya Uchaguzi? Au ndo unauliza?
Taarifa hii inahusu saa kadhaa zijazo, haitazimwa bali kutakuwa na downtime kwa wengi na ni kutokana na ufafanuzi niliotoa hapo juu
Melo nina uzoefu na chaguzi mara nyingi unasema tutaweka miundo mbinu kadha wa kadha sasa najiuliza Melo alisema anaweka ulinzi wa mtandao lakini ifikifika wakati wa uchaguzi utashangaa taarifa, jamani kutokana na kadhia hii na hii mtandao haukuwa hewani rejea uchaguzi wa 2015Nani kasema JF itazimwa kabisa siku ya Uchaguzi? Au ndo unauliza?
Taarifa hii inahusu saa kadhaa zijazo, haitazimwa bali kutakuwa na downtime kwa wengi na ni kutokana na ufafanuzi niliotoa hapo juu