JF Posts Opinion Poll.....kuongeza na kuboresha uchangiaji katika mijadala ya siasa

LAT

JF-Expert Member
Nov 20, 2010
4,401
1,312
Wana JF

Kwa dhati ninapenda kutoa pendekezo langu kwa JF administrator na wana jf kwa ujumla, kwa vile tumekua tunatoa michango mingi yenye manufaa makubwa kabisa katika jamii na maendeleo ya taifa haswa katika nyanja za siasa, hivyo ninaomba mawazo, michango na maoni haya tunayotoa kuhusu masuala mbalimbali tuyapime uzito wake na ukweli wake kwa kuyapigia kura ndani ya JF floor.... hii itatoa dira halisi ya wazo (post) iliyotolewa... na kwakuwa wanaochangia kwenye JF ni watu wenye upeo na uelewa na inafanyika very random kama statistics inavyotaka...(sampling)... hivyo kuliko kusubiri Synovet na Redet walio kibiashara zaidi na kwa maslahi wanayojua wao wana JF wanaweza kutoa mwelekeo wa mambo ya kijamii na kisiasa kama opinion poll organ hivyo tukawanufaisha wananci wetu kwa kuwapa mtazamo wananchi kwa yale yanayojiri... JF web administrator anao uwezo mkubwa wa kutayarisha page itakayo endesha mchakato mzima wa kupiga kura online

Hii itakua changamoto kubwa katika kuboresha uchangiaji wetu katika mijadala ya nyanja za siasa zinazozaa maendeleo katika taifa letu

Ahsante sana

Naomba Kutoa hoja
 
YA,TUNAWEZA TUKAWA NA SEHEMU MAALUMU AMBAYO VIONGOZI WA JF WATAPOKEA MADA NA KUZICHAMBUWA THEN ILE ITAKAYO ONEKANA NI YA MSINGI ZAIDI IKAWEKWA MEZANI NA WANAJF KUCHANGIA MAWAZO YAO,ILA HII SEHEMU YETU IKAENDELEA KUWEPO,TATIZO NI KUWA SIAMINI KAMA KUNAVIONGOZI HATA MMOJA MWENYE TABIA YA KUPITIA JF,SINA HAKIKA NA ILO,KWANI WANA JF WANAJITAHIDI SAN KUUMIZA VICHWA HAPA ILA SIDHANI KAMA HAWA WAKUU WANAPITIA HILI JAMVI LA siasa

MAPINDUZIIIIIIII DAIMAAAAAA
 
Ahsante ... JF web administrator atafanya hii kazi as a normal routine kama anavyoweza kuwakilisha mawazo yetu online.... opinion poll itakuwa "online" kama tunavyochangia..... and the most and highly demanded topic i suggest to be published and opinion poll announced publicly...
 
What are the costs? And will the society respect them?

Mimi nadhani hatuhitaji hizo respect zao, cha muhimu tuchukue hatua sasa, na historia ipo, na amini itatuhukumu kama tulikosea au tulipatia, kwani mengi yamepita hapa na tuliyasema na yakapuuzwa lakini leo ndio yametufikisha hapa tulipo na mwamko huu wa kisiasa na amini JF ina mchango mkubwa sana.
Kuna watu wengi wana ogopa KUTHUBUTU HATA KUGOMBEA UONGOZI, Lakini baada ya kupita humu na kupata chngamoto wengi tumewaona wakitangaza nia ya 2015 na tumekuwa tukiwashahuri WAANZE SASA MAANDALIZI NA NAAMINI WAKIJA UOMBA USHAHURI HUMU WATAPATA.
 
nadhani mawazo yetu tuyapime ili kuonyesha mfano wa demokrasia halisi katika JF ...... na mwananchi kweli wananufaika na mawazo na michango hii..... to respect an opinion is another thing kaka..... important is an opinion can reflect and affect changes
 
Back
Top Bottom