Ibrahim Raha na Rajabu Hatia
Nakumbuka 900 bilioni.
Hahaha eti malaya
Dah! Nmekumbuka mbali sana tulivamiwa nyumbani na hilo jiwe walitumia kuvunja mrangoKwa uimara wa milango na madirisha ya zamani usingeweza kuvunja ili uingie ndani ya nyumba kwa nia ya kutenda uhalifu bila kutumia hili jiwe lililokuwa maarufu kwa jina la FATUMA.. Na lilikuwa na mbebaji wake ambaye pia ndio alikuwa mbondaji.. View attachment 2025696