MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 20,897
- 63,783
Huyu mzee ni bitoz toka ujanaZahir Ally Zorro...Baba wa Banana ZorroView attachment 1527843
Kama vile anapanda kili!On this Day...! In the loving memory of our dearest MwalimuView attachment 1530152
Jukwaa la Lugha hujaliona??
Kwani sasahivi wewe ni mzee?Sanaaa nakumbuka nilishawahi kufikia pale nikitokea Kigoma nikapita na Taulo(niliiba)
Basi nilikua naona ufahari sana nikilianika pale nyumbani kwangu Gungu kigoma nilikua naonekana bonge la mshua. Ujana raha sana
Muheshimiwa punguza hasira hapa tunapeana elimu na kukumbushana yale tuliyosahau kwa namna moja au nyingine mbali na kuburudika, lakini kumbuka pia kuwa elimu haina mwisho.
Tena kijeba
Umenikumbusha mbali kidogo kwa picha hii, na hii ilipigwa ndani ya manowari ya kijeshi ya Jeshi la Afrika kusini wakati wa kikao maalumu cha usuluhishi kati ya Serikali ya Zaire chini ya Rais Mobutu na Waasi chini ya Laura Kabila may 2,1997 wiki 2 kabla ya rais Mobutu kupinduliwa na Waasi wakiongozwa na Laura Kabila.
Arusha School hii naona junior classes hapo daah way backView attachment 1520587
Arusha 1950s
Christmas Caro's
Sema huyu baharia alianza kutafuna kuku na mbuzi wa watu kitambo sana.