nchi ya viwanda
Member
- Apr 3, 2017
- 88
- 18
Jamani mm nikijana nipo dar nililla nikaamuka nywere zangu zimenyolewa dizaini kama duara hivi kidogo na niligundua zilikuwa zinawasha pale mpaka leo ni miez miwili nanyoa lakin zinaota kwenye hicho ki duara hazioti nifanye je?.