Leo nimeikumbuka hii nikacheeka!
Je una maoni gani kuhusu hawa watu wa Wind East Africa na mradi wao wa umeme wa upepo wa megawati 50 ambao utaanza kuzalishwa mwakani?Halafu siku hizi bila breaking nyuzziii za kutokea kisutu au ccm na chadema kubwagana kwenye chaguzi.... basi karibia kila kitu kimeshakuwa documented!!! ndo' maana wengine tunaangaza macho kwenye majamvi mengine na kuwaachia akina Mkjj, Kitila, Halisi, Kasheshe na makundi yao ukumbi wao mpenzi wajitanue...![]()
Shabash another richmond?Je una maoni gani kuhusu hawa watu wa Wind East Africa na mradi wao wa umeme wa upepo wa megawati 50 ambao utaanza kuzalishwa mwakani?
Wabongo bwana tukikaa kwenye siasa mnaongea tukija na kuliweka kwenye forums nyinegine mnaongea.......Hivi mmeona traffic ya kwenye thread ya "Jabir Kigoda wa BOT" ilivyo kubwa? Yaani kuna visitors kibao wamepiga kambi humo kabisa...wakisubiri maudaku yaendelee kumwagwa.
Oh well, it is what it is.....unfortunately!!