Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimepata mwenza hapa jf tunafunga ni mwanaume wa aina yake ndoa tar 28/11/2011
niko na kaujauzito ka mwezi
nashukuru sana jf
nitawatumia kadi baadhi siku ikifika
karibuni sana
ni ushuhuda wa kweli
duh! aibu!
yaani hamjachelewesha abo jamaa kishadumbukiza bege zake...safi sanaaaaaaaa
aibu ya nini?duh! aibu!
yaani hamjachelewesha abo jamaa kishadumbukiza bege zake...safi sanaaaaaaaa
nitamuita maxwelo mkuu nadhani ni wa kiume nikicheki tarHongereni sana kwa ndoa tarajiwa na kwa ujauzito.Mkipata ka baby boy kaiteni Bishanga Abashaija,kakike mwombeni Aspirin akapatie jina.
nitamuita maxwelo mkuu nadhani ni wa kiume nikicheki tar
aibu ya nini?<br>kupata mume?k<br>uwa mjamzito?<br><br>kufunga ndoa?<br>duh! aibu!<br>
yaani hamjachelewesha abo jamaa kishadumbukiza bege zake...safi sanaaaaaaaa
asante mwaya nimemaliza safari salamahongera mwaya,mungu awatangule mambo yenu yaende na kumalizika salama!
hamna jambo ambalo si baya huku duniani kaka tunaishi tu kwa neema ya mungu kumbukahongereni ni jambo zuri mungu anapenda lakini mbaya mmefanya zinaa hilo ndo kosa eti mjazito ndo mnafunga ndoa hivyo sohalali
ngoja ngoja huumiza matumboina maana miezi sita mshafanya maamuzi mazito hivi, au ndo love at the first site?
Hongereni sana jf ni kisima cha kila kitu
aibu ya nini?