We Know Next
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 814
- 380
JF na wote,
Nimekuwa tafuatilia kwa makini sana mambo yanayojitokeza ktk JF. Ukweli kabisa ni mambo ambayo Watanzania wote, bila kujali chama, dini, kabila au rangi, waweze kufahamu.
Tatizo kubwa ninaloliona ni suala zima la mawasiliano kwa mamilioni ya watanzania walioko vijijini. Je Kama wana JF, hatuwezi kutengeneza mpango mkakati ambao utahakikisha kuwa by 2015 at least 85% ya watanzania wote wawe wanaelewa haya yanayo semwa humu?
Nina ukahika, ikiwa kama hili litafanikiwa, then uchaguzi wa 2015 utakuwa uchaguzi wa aina yake na tutapata Bunge kama tuonavyo yaona mabunge ya wenzetu huko Abroad.
Natoa hoja.
Nimekuwa tafuatilia kwa makini sana mambo yanayojitokeza ktk JF. Ukweli kabisa ni mambo ambayo Watanzania wote, bila kujali chama, dini, kabila au rangi, waweze kufahamu.
Tatizo kubwa ninaloliona ni suala zima la mawasiliano kwa mamilioni ya watanzania walioko vijijini. Je Kama wana JF, hatuwezi kutengeneza mpango mkakati ambao utahakikisha kuwa by 2015 at least 85% ya watanzania wote wawe wanaelewa haya yanayo semwa humu?
Nina ukahika, ikiwa kama hili litafanikiwa, then uchaguzi wa 2015 utakuwa uchaguzi wa aina yake na tutapata Bunge kama tuonavyo yaona mabunge ya wenzetu huko Abroad.
Natoa hoja.