JF mwaka 2015 mmejipanga vipi?

Magulumangu

JF-Expert Member
Jan 7, 2010
3,047
452
Kwa maoni yangui JF imekuwa mbele sana katika kuelimisha jamii ingawa ni wachache wetu tunaweza kuwa na access ya internet, katika uchaguzi huu wa mwaka 2010 JF imesaidia mengi sana hasa katika upande na changamoto za mapinduzi, ni njia nzuri mojawapo imeweza unganisha Watanzania na kuongea openly as slogan ya JF, sasa basi je 2015 sio mbali wanaJF mnajipangaje kuongozana mguu kwa mguu na wanamapinduzi kuelimisha watz juu ya UPAMBANAJI katika mabadiliko nchini? Mnajipangaje kuwajulisha watanzania kuwa VYAMA vingi sio UCHOCHEZI wa umwagaji damu nchini bali ni ukombozi wa taifa letu?

Nawakilisha wajameni...MS usiniattack kwa kisingizio cha udini
 
Kwa mjini JF ni mojawapo ya vyombo vilivyowezesha watz wengi kujua what means VYAMA vingi je huko Vijijini mnajipangaje kuwaelimisha wanavijiji ambako CHAMA tawala kinashinda kwa kishindo kwa kisingizio cha Vyama vingi ni MCHAFUKO wa nchi wakitoa mifano hasi na bila kuelezea what was the source......JF keep on educating watz tunawategemeeni nyie....
 
Tuwe wakweli JF ilichofanya kwenye uchaguzi wa mwaka huu siyo kuelimisha umma bali ni kuipigia kampeni CHADEMA.
Harakati hizo zimezaa matunda machache kama ilivyotarajiwa na waona mbali na kwa kiasi kikubwa imepunguza mvuto wa JF kama home of great thinkers; sasa imekuwa house of propaganda, unfortunately!
 
Tuwe wakweli JF ilichofanya kwenye uchaguzi wa mwaka huu siyo kuelimisha umma bali ni kuipigia kampeni CHADEMA.
Harakati hizo zimezaa matunda machache kama ilivyotarajiwa na waona mbali na kwa kiasi kikubwa imepunguza mvuto wa JF kama home of great thinkers; sasa imekuwa house of propaganda, unfortunately!


Kaka naona wewe uko upande wa siasa za home than utandawazi wa sasa, je inakuwaje hayo magazeti yote tz yanayoinyenyekea CCM? hakuna hata gazeti kubwa lililosimama kuelimisha wananchi juu ya Vyama vingi, yakipewa vitisho tuu kimya, JF mie nawapongeza angalau kuipigia kampeni CDM kama unavyodhani wewe....
 
Kaka naona wewe uko upande wa siasa za home than utandawazi wa sasa, je inakuwaje hayo magazeti yote tz yanayoinyenyekea CCM? hakuna hata gazeti kubwa lililosimama kuelimisha wananchi juu ya Vyama vingi, yakipewa vitisho tuu kimya, JF mie nawapongeza angalau kuipigia kampeni CDM kama unavyodhani wewe....

Kiongozi,
Hatuwezi kujustify propaganda za JF kwa kivuli cha "maovu ya CCM". Unapaswa ujiulize, kwa nini wamechagua Chadema out of all opposition parties? Usifikiri vitu vinatokea tu, hapana, vinaandaliwa. Na vinaandaliwa kwa sababu maalum kwa ajili ya watu maalum, ambao hatimaye hupewa nafasi maalum.
 
:redfaces: I hate this one........................
Invalid Forum specified. If you followed a valid link, please notify the administrator
I think hiki ni kijiwe cha kupoteza muda tu!
 
Back
Top Bottom