KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,555
- 8,552
Hivi hapa MMU mpo na Mkeo/Mumeo?je mnajitambua mnajijua?kila mmoja wenu anajua ID ya mwenzie?Je ndani simnajimwaya?kwani hapa ni somo tosha!Au kila mmoja kimyakimya?Maana kama mnajuana ID lazima upige kimya,nakama mmoja wenu hajui ID ya mwenzake safi ila kama unajua then ila unajifanya hujui utamsanifu sana akirudi home!