Saalam wakuu.
Nianze kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kunifikisha pale nilipokuwa napatumania kwa mda mrefu!!
Nachukua nafasi hii kuwakaribisheni nyote wana jukwaa hili pamoja na uongozi wote wa JF katika ARUSI yangu itakayofanyika nyumbani kwetu Bukoba tarehe 20-Dec-2013.
Kwa watakaokuwa tiyari kuhudhuria mnaweza kuni-PM (kwa lengo jema) kwa ufafanuzi zaidi.
KARIBUNI SANA!!!
STIDE.
Nianze kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kunifikisha pale nilipokuwa napatumania kwa mda mrefu!!
Nachukua nafasi hii kuwakaribisheni nyote wana jukwaa hili pamoja na uongozi wote wa JF katika ARUSI yangu itakayofanyika nyumbani kwetu Bukoba tarehe 20-Dec-2013.
Kwa watakaokuwa tiyari kuhudhuria mnaweza kuni-PM (kwa lengo jema) kwa ufafanuzi zaidi.
KARIBUNI SANA!!!
STIDE.