Kitila Mkumbo, amesema jambo, nimemsikia, amenigusa. Amesema ukweli, ukweli ambao hatujauona, na kamwe hatutauona.
Kuna maswala muhimu ya msingi, mjadala wake umeishia hewani, na yalikuwa agenda ya watu, agenda iliyotishia uhai wa serikali iliyoko madarakani, agenda yenye kubeba hisia za wengi, agenda kuu yenye kugusa maisha ya walio wengi.
Gharama ya umeme, tumepiga kelele-hatujafikia muafaka, likaja la Dowans, halijaisha, tumepigwa ganzi la mabomu, na jinsi watanzania walivyokuwa vishoka, propaganda yenye kuipa salama serikali dhidi ya haya manyanyaso inafanya kazi kwa nguvu ya ajabu.
JF, tumetekwa kirahisi, tumeshindwa kuwa nuru na taa kwa watanzania na kuongoza na kuendeleza mijadala ya msingi.Tunapepetwa kama mpunga, kwa raha zao, wanapata pumziko!
Kikwete ana akili sana, amejenga technique zake kwenye hisia za watanzania. Yumkini matukio haya yawezekana siyo ya bahati mbaya, ninahisi ni matukio ya kupangwa ili kuweza kuondoa attention toka maswala ya muhimu na kujadili matukio, na hivyo ndiyo saa, siku, wiki miaka inapoenda na muda wa serikali hii utaisha kwa raha mustarehe kabisa.
Hakika, hakuna atakayewajibika, wanawafahamu vizuri watanzania, hamwezi kufanya chochote.
Tutafakari;
Mijadala ya hoja zifuatazo za msingi mustakabali wake ukoje sasahivi?
1.Mauaji ya Arusha
2.Kupanda kwa bei ya umeme
3.Kupanda kwa bei za bidhaa
4.Mfumuko wa bei
5.Wizi wa fedha mpya uwanja wa ndege
6.Dowans
7.
8.
.
.
.
.
.
.
Tuamke usingizini...
Kuna maswala muhimu ya msingi, mjadala wake umeishia hewani, na yalikuwa agenda ya watu, agenda iliyotishia uhai wa serikali iliyoko madarakani, agenda yenye kubeba hisia za wengi, agenda kuu yenye kugusa maisha ya walio wengi.
Gharama ya umeme, tumepiga kelele-hatujafikia muafaka, likaja la Dowans, halijaisha, tumepigwa ganzi la mabomu, na jinsi watanzania walivyokuwa vishoka, propaganda yenye kuipa salama serikali dhidi ya haya manyanyaso inafanya kazi kwa nguvu ya ajabu.
JF, tumetekwa kirahisi, tumeshindwa kuwa nuru na taa kwa watanzania na kuongoza na kuendeleza mijadala ya msingi.Tunapepetwa kama mpunga, kwa raha zao, wanapata pumziko!
Kikwete ana akili sana, amejenga technique zake kwenye hisia za watanzania. Yumkini matukio haya yawezekana siyo ya bahati mbaya, ninahisi ni matukio ya kupangwa ili kuweza kuondoa attention toka maswala ya muhimu na kujadili matukio, na hivyo ndiyo saa, siku, wiki miaka inapoenda na muda wa serikali hii utaisha kwa raha mustarehe kabisa.
Hakika, hakuna atakayewajibika, wanawafahamu vizuri watanzania, hamwezi kufanya chochote.
Tutafakari;
Mijadala ya hoja zifuatazo za msingi mustakabali wake ukoje sasahivi?
1.Mauaji ya Arusha
2.Kupanda kwa bei ya umeme
3.Kupanda kwa bei za bidhaa
4.Mfumuko wa bei
5.Wizi wa fedha mpya uwanja wa ndege
6.Dowans
7.
8.
.
.
.
.
.
.
Tuamke usingizini...