Nadhani uwepo wa JF members katika Bunge maalum la katiba kunawapa jukumu la lutujulisha kila kinachoendelea sisi tulioko nje, vinginevyo kuanzishwa kwa sub forum hii ya KATIBA MPYA kutakuwa kumepoteza maana. Ninatamani hata sisi tulionje mawazo YETU yasikilizwe kupitia jukwaa hili kwa kupitia kwa JF members mlioko mjengoni. Nawasilisha