Maxence Melo
JF Founder
- Feb 10, 2006
- 4,196
- 13,186
Wakuu, "tulitarajia kuifunga" JF kwa muda wa masaa takribani mawili hivi, kwakuwa kuna kitu tunaweka sawa. Lakini kwa sasa kila kitu kitaendelea kama kawaida, kunaweza kuwa na errors, tafadhali tufahamishane via support@jamiiforums.com au PM. Tupo kwenye marekebisho ya haraka ambayo yatachukua masaa mawili hivi.
Ahsanteni.
Maxence
Ahsanteni.
Maxence