waberoya......hana msindani
Waberoya anaropoka sana hafai hata kidogo.
waberoya......hana msindani
Man - Nnauye Jr
Woman - Mary Chitanda
Nawasilisha
waberoya......hana msindani
Mi kwa wanaume nawapendekeza FJM,EMT na mtani Mwita Maranya...
Kwa akina mama nampendekeza Gaijin
Wakuu mie naombeni maelezo kifupi, wapi faiza fox siku hizi? Nn kimempata. Pia nampendekeza Josphine Mshumbuzi.
Mzee Mwanakijiji ..
Gaijin
SlidingRoof (hiki kichwa hatari tupu!),Mchambuzi na Mwanakijiji (hawa ni kwa Male politician) and Faiza Foxy hana mpinzani kwa kina dada!!
Mzee Mwanakijiji (Male)
Faiza Foxy (female)
Kumbukeni, tunaongea kuhusu 2011, sio 2012...
Napendekeza Paka Jimmy kwa wanaume - ananifurahisha anavyojenga na kutetea hoja zake hapa jamii forum
Kwa wanawake nampa Big Up Faiza Foxy japo siku hizi ameadimika lakini huwa ukifuatilia hoja zake unaenjoy, ni mbishi kwa kutetea hoja zake hakubali kushindwa hata kidogo hata pale anapotakiwa kushindwa.
Mkuu nilikuwa nakukumbusha tu siyo viroja, lakini ahsante. Siwezi kukosa tuzo kwa hilo!
Superman mimi kwenye male politician nampendekeza Mchambuzi. Huyu Mkuu huwa anatoa uchambuzi wa kisiasa ulioenda shule na si shule ya kata bali zile za middle school. Japokuwa nadhani ni muumini wa CCM lakini hutoa uchambuzi wake ambao hauko biased na huwa havutwi na mahaba kwa chama chake.
kwenye uchambuzi wa kisiasa napendekeza, NGURUVI 3, MUSHI, MWITA MANYARA, MKANDALA
NB. napendekeza kushindanisha na mtu anayetoa vya jikoni na vyakutoka UWT, mfano JB, MTOA HABARI, HUTAKI UNAACHA, WA 16 ...........
Nampendekeza, ''Hutaki Unaacha'' kwa upande wa politician man. Huwa namkubali sana kwenye mada zake hasa ile yenye tittle isemayo ''JK huu Mtandao ni hatari , Usipoangalia waweza kuwa History Party I.'' Na pia Histort party II. Bravo sana Hutaki Unaacha!! Kwa upande wa politician lady nampendekeza Josephine Mshumbuzi. Huyu mama huwa akirusha thready yake inapata mshiko sana hapa JF. Akirusha tu utashangaa wanabody waliokuwa likozo wote wanajitoza pasipojulikana wanakotokea. Bravo sana sister J. Mshumbuzi!!
Faiza fox hana mpinzani kwa upande wa wanawake.
Pasco wa JF na Lowassa.
Kwa wanaume
EMT
BEN
MCHAMBUZI
(Naomba Mzee Mwanakijiji asishindanishwe maana yeye atakua hana mpinzani, isije ikawa kama The Boss na Mbu)
kwa Wanawake
Marehemu Regia Mtema anastahili (Ikumbukwe tunaongelea mwaka jana)
Jason bourne-JF MAN OF THE YEAR 2011
AshaDii -JF WOMAN OF THE YEAR 2011
Kwa kweli hii kazi ni ngumu sana, wanasiasa wengi wako makini, lakini hakuna jinsi lazima apatikane kinara.
Mapendekezo yangu ni haya;
Wanaume; Nguruvi3, Mag3 na EMT,
Wanawake; Gaijin na AshaDii.
JF MALE POLITICIAN OF THE YEAR 2011" na
· Mwanakijiji
"JF FEMALE POLITICIAN OF THE YEAR 2011"
· Zion Daughter
Nampendekeza Ritz awe Jf male politician of the year 2011.
Na pia Regia Mtema(rip) awe jf female politician of the year 2011.