JF Kwa mtizamo upi??

KakaKiiza

JF-Expert Member
Feb 16, 2010
11,555
8,552
Nakuwa nasikitishwa na thread zenye kukinzana kuhusu itikadi za member wa jf wengine wamekuwa wakisema jf inaudini wakristo,nawengine wakisema jf ni ya wa CDM sasa mimi sijui mnadhani nini kifanyike hizi lawama zisiwepo??
 
Nakuwa nasikitishwa na thread zenye kukinzana kuhusu itikadi za member wa jf wengine wamekuwa wakisema jf inaudini wakristo,nawengine wakisema jf ni ya wa CDM sasa mimi sijui mnadhani nini kifanyike hizi lawama zisiwepo??

kifanyike wakiritso wa jf wawe wastaarabu na wsione jf ni yao kama wanvyoona tz ni yao
Naanza kupata mashaka hata na wewe Kakakiiza...Inakuwaje usipime mambo haya kwa akili zako hadi yakusumbue na uje kuuliza hapa...si unaona sasa umempa uchochoro MS, ANAFLOW KAMA kumsukuma mlevi!
Jamani, kila mtu hapa alijiunga na JF kwa sababu zake binafsi...Hakuna katika interface ya JF palipoandikwa .."ni lazima uwe Mwanacdm, au mkristo, au mwislamu...thats not it!
Kama wanaJF kwa bahati mbaya au nzuri wanasupport chama fulani, there is no control about that, na kama wanaonekana ni wengi wa dini fulani, hakuna remedy ya hilo, ili mradi hakuna kuvunjiana heshima.
Ndio maana kumewekwa jukwaa la dini mbali kule, ili wanaoona wanahitaji kujadili mambo hayo waende huko...
Kama utakuwa na imani za namna hii na zikakuumiza, then unahitaji kujipima uwezo wako wa fikra!
 
Hilo ni wazi wala halina na shaka, JF ni Chadema, Chadema ni JF. Na uDini upo JF.

Kutatuwa tatizo hilo kwa sasa sidhani kama litawezekana ki urahisi labda mpaka JF iwe ni kijiwe huru na ma mods wawe wanazi wa vyama tofauti na wadini tofauti na si kama ilivyo hivi sasa. Inaonesha wazi kuwa Mods wote ni Chadema na ni wakiristo.

I have a feeling Mbowe ndie mwenye hii JF.
 
Hilo ni wazi wala halina na shaka, JF ni Chadema, Chadema ni JF. Na uDini upo JF.

Kutatuwa tatizo hilo kwa sasa sidhani kama litawezekana ki urahisi labda mpaka JF iwe ni kijiwe huru na ma mods wawe wanazi wa vyama tofauti na wadini tofauti na si kama ilivyo hivi sasa. Inaonesha wazi kuwa Mods wote ni Chadema na ni wakiristo.

I have a feeling Mbowe ndie mwenye hii JF.
Generalization ya kipuuzi na isiyo na utafiti wala mashiko...!...Mmezowea sana kusoma AL-HUDDA, mnapenda habari zote zikae ki AN-NUR!...msinikumbushe mimi thread ya "mtoa pumba wa mwaka JF!"
 
Don't touch the dial kiongozi,msemakwe,Rumuli nimagazeti konge na nizaidi ya magazeti nikama newsweak!hivi MS unaweza kutambua vipi kama huyu ni cdm,au huyu ni mkrstu??humu jf mimi naona wana jf niwapenda maendeleo kwamantiki hiyo ukiwa ccm lazima uwachukie,ukiwa muislamu utajishuku kuwa unasemwa wewe ukweli hawapendi kuleta chokochoko zakidini hasa ukileta thread za kiislam wengi wengi wanaogopa mamboya mungu tenawaislamu nawao hapendi kuongelea dini ila hile complex inf'unaona ukiristu humo jf!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom