Jethro
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 2,219
- 370
Allien
Hoja unayo na umeijenga ipasavyo big up sana, sigeuzi kichwa mara mbili kuchukua kadi ya Chama twaomba jina litoke mapema kabla ya December 25th 2009,
FL1: kweli kwenye Umafia na FBI, CSI me nta kuwa mstali wa mbele Mzalendo 100%
UVCCM ndio watakuwa wakwanza kuja huku iyo nawapeni full story lazima kwani hao ndio hawana hata direction tutawakaribisha pia.
Ilani ya uchaguzi jamani na wasi wasi na wanafki na mafisadi kutuibia wallahi toba, vipengere vyetu vingi vitaibwa usipaime kwani nawajua wale ni copy paste.
Please Twasubilia jina la Chama, je mapendekezo ya jina kwa ajili ya JF part yako wapi si wazalendo wa kweli waanze kutaja au ku suggest party name
Hoja unayo na umeijenga ipasavyo big up sana, sigeuzi kichwa mara mbili kuchukua kadi ya Chama twaomba jina litoke mapema kabla ya December 25th 2009,
FL1: kweli kwenye Umafia na FBI, CSI me nta kuwa mstali wa mbele Mzalendo 100%
UVCCM ndio watakuwa wakwanza kuja huku iyo nawapeni full story lazima kwani hao ndio hawana hata direction tutawakaribisha pia.
Ilani ya uchaguzi jamani na wasi wasi na wanafki na mafisadi kutuibia wallahi toba, vipengere vyetu vingi vitaibwa usipaime kwani nawajua wale ni copy paste.
Please Twasubilia jina la Chama, je mapendekezo ya jina kwa ajili ya JF part yako wapi si wazalendo wa kweli waanze kutaja au ku suggest party name