.....MKJJ pengine huna uzaoefu na matajiri wa Musoma na Mwanza, list ya watu aina ya Peter zakaria ni ndefu......wengi wametajirika sana na biashara ya magendo mpakani,kuanzia enzi za magendo ya bia(kuvusha bia ziwani kwa mitumbwi kutokea kisumu,petroli nk).Haiwezekani mtu kama huyo akakumbatiwa na chama tawala, nadhani mnamsingizia na kumuonea wivu. Vinginevyo mtakifanya CCM kionekane kama Chama cha Majambazi hivi...
Haiwezekani mtu kama huyo akakumbatiwa na chama tawala, nadhani mnamsingizia na kumuonea wivu. Vinginevyo mtakifanya CCM kionekane kama Chama cha Majambazi hivi...
Are you being sarcastic?
Acha huyu Zakaria kuna mwingine anaitwa Mabina, mbunge wa Kisesa, yeye alikuwa jambazi kabisa wa kuingilia watu na mtutu na kuteka malori ya bia yaliyokuwa yanatoka Kenya.
CCM inakumbatia kuanzia majambazi mpaka mahaini na mahujumu uchumi, just be sure usiwe kidokozi, maana utafungwa.
Mabina Current is CCM Mwanza Regional Chairman
Habari ndio hiyo
Are you being sarcastic?
Acha huyu Zakaria kuna mwingine anaitwa Mabina, mbunge wa Kisesa, yeye alikuwa jambazi kabisa wa kuingilia watu na mtutu na kuteka malori ya bia yaliyokuwa yanatoka Kenya.
CCM inakumbatia kuanzia majambazi mpaka mahaini na mahujumu uchumi, just be sure usiwe kidokozi, maana utafungwa.
Hey Tinkerbell, una ushahidi? Ulimwona? Ulishiriki naye? Alikuingilia na mtutu?
Ushahidi upo
Uweke basi hapa la sivyo "credibility" ya forum iko matatani....au kama unataka kuwa kama mshikaji wako Mr. Freelance Investigator unaweza ukaubania...
Story ingekuwa credible, tungekuwa na ushahidi wa kuweza kuwekwa hapa.Unfortynately the story is incredible, kwamba a common thief ambao watu wote wa Mwanza wanamjua kaja kuwa mbunge na sasa Mkuu wa CCM wa Mkoa wa Mwanza.
So not all true things are credible, and not all credible things are true.Kama unataka kujua muulize alwatan yeyote wa Mwanza.This is common knowledge.
Mhhhmmm...you sound more like your boy, Mr. Investigator....excuses. excuses, and more excuses.....wewe umetoa dai, lithibitishe kwa ushahidi. Usianze kunambia eti nimwulize alwatan yeyote ya Mwanza. Geeez....kunamengi mno yasemwayo na nikianza kuuliza najua nitasikia mengi pasipo na ushahidi wowote. It's all good though...but try to live up to your expectations of others. Peace out.
Mhhhmmm...you sound more like your boy, Mr. Investigator....excuses. excuses, and more excuses.....wewe umetoa dai, lithibitishe kwa ushahidi. Usianze kunambia eti nimwulize alwatan yeyote ya Mwanza. Geeez....kunamengi mno yasemwayo na nikianza kuuliza najua nitasikia mengi pasipo na ushahidi wowote. It's all good though...but try to live up to your expectations of others. Peace out.
Ebu tupe nyeti. Huu utetezi huenda si bure lol. Circumstantial evidence is so overwhelming and common knowledge that requires very little corroboration. Peace out.
Originally Posted by Mzee Mwanakijiji said:Haiwezekani mtu kama huyo akakumbatiwa na chama tawala, nadhani mnamsingizia na kumuonea wivu. Vinginevyo mtakifanya CCM kionekane kama Chama cha Majambazi hivi...
Common sense does not need evidence nor investigation, mkuu vipi unashirikiana na Zacharia?
Sio alishawahi kuwa jambazi, bado ni jambazi hadi kesho, ni bingwa wa kuuza mafuta ya magendo toka kenya, ni bingwa wa kuteka magari ya mafuta toka kenya kwenda migodini na huuza hayo mafuta vituoni kwake, pale mpakani sirari ana kituo cha mafuta kwa ajili ya kuuza mafuta ya wizi tu toka Kenya, na hayalipiwi ushuru.
Ni bingwa wa kuteka meli za mafuta toka pipe-line kisumu na na kuyashusha mafuta visiwani huko Mwanza, mara nyingi kwenye wizi huu hutumia meli ya mv. Munanka ambayo ni ya rafiki yake jambazi wa mwingine wa Mwanza, huyu wa Mwanza anaitwa Chacha Gitano.
Hapa Tarime ana jeshi lake binafsi pia ana selo zake, kwa mfano wapiga debe wakipuuza mabasi yake huweza kupelekwa kwenye hayo magereza yake na kupewa adhabu ngumu ya viboko pamoja na kusafisha gereji yake, inasemekana pia kwenye mradi wa mabasi IGP mstaafu , jambazi mahita ana shea kubwa, mabasi mengi ni ya wizi toka Kenya.
Kwa sababu raia wa Tarime wanamuona kama pirate, zamani halmashauri ikiongozwa na ccm walimpa vituo vya mafuta vya halmashauri bure bila malipo hadi leo, kikiwemo cha mugumu wilayani Serengeti.
Aliwahi kumwagia dereva wa basi la Bunda Bus tindikali pia, live stand, na sheria haikumgusa, hadi leo huyo jamaa ni kilema. Mara nyingi amekuwa na tabia ya kuwakoromea madereva wa kampuni nyingine kama Tanganyika Bus kwa kuwatishia bastola, tena mbele ya abiria.
Peter Zacharia ni Mungu mtu hapa Tarime, Gachuma ndo God father wake.