Pasco_jr_ngumi
JF-Expert Member
- Nov 20, 2010
- 1,802
- 282
Sasa wangu ana TOBO ndogo, nifanyaje tena!?
Asanteni sana wana JF kwa michango yenu. Nili post thread yangu yapata miezi miwili iliyopita kuhusiana na demu wangu kuwa na uke mkubwa kunifanya nisifurahie wakati wakati wa mapenzi. Kuna member alipost thread moja iliyokuwa inahusu tatizo hilo na akatoa ushauri wa kufanya mazoezi ya kubana mapaja mara kwa mara.
Kweli nilimshauri demu wangu amefanya na sasa naona mambo yana anza kuwa mazuri. Nimemwambia asiache kabisa ili kitu iendelee kuwa mnato.
Thank you very much
can u kindlly change ue sad avatar plz... This is MMUrafiki...and not MMuadui!!:frog::frog:MMU for life..
congratulation..........
hopeful she is enjoying too...