Kwa hakika nimefanya tathmini ndogo ya effects ndani y takriban siku tano ambapo nchi yetu imepitia matukio makubwa mawili..., kwanza ni uamuzi wa ICC na tamko la serikali kuridhia kuilipa kampuni inayodhaniwa ina utata zaidi ya TSH BILLIONI 90 fedha ambazo ni kutoka kwenye mifuko ya watanzania walipa kodi kwa uzembe wa watu wachache wenye maslahi binafsi..... pili tukio la maandamano ya amani ya chama cha chadema huko arusha yaliyopelekea uvunjwaji wa haki za binadamu na kusababisha mauaji ya watu zaidi ya watatu mpaka sasa sita... ikiwa vitendo hivi vikifanywa na viongozi waliopewa dhamana na wanainchi kuwalinda na kuwatumikia....
kwa kifupi tathmini inaonyesha JF imeimarika zaidi kwa kipindi kifupi kwani idadi ya members imeongezeka kiasi kikubwa sana hii ikidhihirisha wazi kuwa JF inatoa hamasa na kutoa habari na uchambuzi wa kina kuhusu mambo yanayoikabili nchi yetu pendwa ya tanzania iliyo gizani miaka mingi tangu uhuru... takribam miaka 50 sasa
JF ni mfano wa kuiga na inaweza siku moja ikapata fursa ya kuwa taasisi chunguzi na chambuzi hapa nchini... ahsante.... hongera sana JF
kwa kifupi tathmini inaonyesha JF imeimarika zaidi kwa kipindi kifupi kwani idadi ya members imeongezeka kiasi kikubwa sana hii ikidhihirisha wazi kuwa JF inatoa hamasa na kutoa habari na uchambuzi wa kina kuhusu mambo yanayoikabili nchi yetu pendwa ya tanzania iliyo gizani miaka mingi tangu uhuru... takribam miaka 50 sasa
JF ni mfano wa kuiga na inaweza siku moja ikapata fursa ya kuwa taasisi chunguzi na chambuzi hapa nchini... ahsante.... hongera sana JF