hahahaah!! Sawa mpenzi, kumbe nili-overlook,,,,,,,,,,,,hii vitz kumbe ndio ya kuuzwa. Haka kabodaboda katatusaidia bado kwa mizunguko ya mjini.hapana bana, uza hata ile vitz sio ng'ombe wa mahari. mi staki kuolewa kwa mkopo. lol
hahhahaha! tena mtuache kabisa msiingilie mapenzi yetu. lol
hahhahaha! tena mtuache kabisa msiingilie mapenzi yetu. lol
Usihofu baby, hilo tena? Sema lingine my sweet heart. Ngoja kesho nikauze yule ng'ombe mmoja ambaye nimeandaa kwa ajili ya mahari ili tupate pesa ya kuhudhuria hii get together party.
Mhh! mi naona hata party yenyewe ishakwishia humu humu kunako jukwaa make kila mutu na wake asa si tusokuwa na wenza hata ka bluzi si hatutacheza mpaka kungojea za kuruka majoka tu?? Mi naona nighailishe kabisa kukanyaga hapo kunako party ya sherehe hii.
KakaKiiza naomba tuwasiliane kuhusu swala la ukumbi maana nataka kuanza kutangaza michango.
Jana nikishirikiana na Jiwe Linaloishi tulipitia kumbi kadhaa lakini gharama zao ni kubwa na wana masharti mengi kiasi kwamba hatuta enjoy, ukumbi pekee ambao unaonekana kuwa nafuu na masharti yasiyokwaza ni ule wa Kebbys Hotel Pekee na nilikuwa natarajia kutangaza leo kuwa party itafanyikia hapo.
Copy to lara 1, Jiwe Linaloishi, Vin Diesel, Kipaji Halisi, Paloma, ladyfurahia, cacico, gfsonwin, Madame B
hii naona wa mbagala haituhusu si msogee hata quality centre...........savannah pale kuna private/vip lounge........
hichi kitalu cha JF bado hatujaruhusu kuwinda... ole wenu Operation kimbunga haijaisha
hahahaaa mlikuwa tu hamajafungua ukurasa wenu
msg delivered!
tutawasiliana shem
Mhh! mi naona hata party yenyewe ishakwishia humu humu kunako jukwaa make kila mutu na wake asa si tusokuwa na wenza hata ka bluzi si hatutacheza mpaka kungojea za kuruka majoka tu?? Mi naona nighailishe kabisa kukanyaga hapo kunako party ya sherehe hii.