Erickb52
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 18,539
- 11,442
Mazingira ya Arusha ndo yameharibika sana yan jua kali na hakuna mvua mara kwa mara kama zamanimikoa iliyokua inazalisha vyakula kwa wingi imekabiliwa na ukame wa muda mrefu kutokana na ukataji miti na uharibifu wa mazingira.