JF Female Politician Of The Year 2011

Je, Ni Nani Unampigia Kura Kuwa "JF Female Politician Of The Year 2011"?

  • Faiza Foxy

    Votes: 31 46.3%
  • Josephine

    Votes: 36 53.7%

  • Total voters
    67
  • Poll closed .
Status
Not open for further replies.
Sawa mkuu
Nisikuudhi bure , maana nataka lift kwenda Paris shopping. :)

images


Only death will do us apart . . .

With all my heart!

Signed
 
1. hatuna uhakika kama FF ni dume au jike, huyu angepambanishwa kwenye udini
2. jose atashinda kwa ushabiki na uwingi wa wanacdm jf
 
Mpambano huu hauko fair! huwezi pambanisha known member (Josephine) na anonymous (FaizaFoxy)

hii sasa ni hatari... kwa hiyo ukiwa ni known member humu JF ina maana unakuwa umepoteza haki zako za msingi kama mwana JF...? ina maana msimu uliopita dada yetu Regia-R.I.P, hakuwa ni known figure..?? hiki sio kigezo cha kumtoa m2 kwenye shindano.., or else na wengine wajitambulishe ili tuwafahamu physically... au MODS wawa pige BAN wote wanaojitambulisha kwa majina yao humu JF ili kuwe na haki sawa... NAWASILISHA.
 
Wadau!
Tusimlaumu sana Superman wakulaumiwa ni sisi wana Jamvi, kwanini hatukutoa mapendekezo ya jina tunalolitaka?
halafu kitu kingine, mwenyekiti wa JEC, kumekua na mashindano mengi sana katika karibu jukwaa ndio maana hii imewachanganya wanajamvi...
next time inabidi kuwe na mgawanyo mzuri wa majukwaa katika uandaaji wa tuzo..
 
Mie huwa simkubali faiza lakini kwa hili anampita josephina kwa mbali kwa michango hapa jf faiza yuko juu.

JF inageuka kuwa kijiwe cha ndio mzee na kizazi hiki ndicho tunacho kikataa.
Hao wote walio shindanishwa hakuna hata mmoja amewahi kujenga hoja humu jukwaani,ni
kutukana kwa upande mmoja,na kutetea chama kwa sentensi fupi fupi tu "ndio","hapana" kwa upande mwingine.

They are poor execuse of JF Female politician,kuna watu wanajenga hoja,Kwa mfano Afrodenzi alivo simamia
zoezi la kijana aliye kuwa anaumwa na michango ikapatikana,etc.

FF na Josephine wamefanya nini?
Au mawazo ya Superman ndio super?
To hell.
 
Wadau!
Tusimlaumu sana Superman wakulaumiwa ni sisi wana Jamvi, kwanini hatukutoa mapendekezo ya jina tunalolitaka?
halafu kitu kingine, mwenyekiti wa JEC, kumekua na mashindano mengi sana katika karibu jukwaa ndio maana hii imewachanganya wanajamvi...
next time inabidi kuwe na mgawanyo mzuri wa majukwaa katika uandaaji wa tuzo..


Jamii Forums na ndio mzee,what a mess.
Hii ni hoja ya superman,ndo maana anaamini mawazo yake ni super kuliko wengine.
Sidhani kama moderators wana jua anacho kifanya,otherwise asingekuwa peke yake.

Mara MMU yeye ndo anawajua wote,mara Siasa duh
 
1. hatuna uhakika kama FF ni dume au jike, huyu angepambanishwa kwenye udini
2. jose atashinda kwa ushabiki na uwingi wa wanacdm jf

Kukubali hawa watu washindanishwe kumeonesha jinsi wana JF walivo
na uwezo mdogo wa kuchambua mambo.

Josephine,FaizaFozy,.....mmmh.
So ni udini vs ushabiki?
 
Jamii Forums na ndio mzee,what a mess.
Hii ni hoja ya superman,ndo maana anaamini mawazo yake ni super kuliko wengine.
Sidhani kama moderators wana jua anacho kifanya,otherwise asingekuwa peke yake.

Mara MMU yeye ndo anawajua wote,mara Siasa duh

umesomeka mzee hizi Category zilikua nyingi sana naona hata kazi ilishaanza kumshinda na bado hapo kuna JF Female and Male Pornstar of the year etc....
 
FF anazidi kushangaza JF, ingawa kafungiwa humu kwa chuki binafsi lakini hapa kachukuwa namba mbili na kule kwingine kachukuwa namba mbili.

Kwa matokeo hayo tu, wale waliomfanyia kauzibe wamfungulie. Wananshangaza - Courtesy FF

Faiza Foxy unakubalika.
 
umesomeka mzee hizi Category zilikua nyingi sana naona hata kazi ilishaanza kumshinda na bado hapo kuna JF Female and Male Pornstar of the year etc....

Hahahaha,atleast nimecheka kabla ya ku-log off hahaha.
Thanks Manyanza.
 
Salamu kwa wote,

Nawashukuru wote.Mmechangia ukomavu wangu katika jamii.

Ni kweli sistahili,Lakini ,Sioni sistahili eti kwasababu sijakidhi vigezo 3,4,5 kama wengi mnavyolizungumzia.

Hapana;

  1. Najiamini sana,ninauwezo mkubwa sana wa kujenga hoja na kuileta kwenu wanajamvi na ninajiamini kwa kile nachokisimamia katika jaamii husika.
  2. Uwezo wa kusimamia hoja ninao.Haijalishi ni hoja ya namna gani.
  3. Ushawishi katika yale niyafanyayo ninao.

Labda niseme tu kwanini sistahili;
  1. Kwanza maamuzi ya kuanika jina langu hadharani imekuwa ni sababu namba moja ya kupima kile nachotaka kuandika,kujibu ama kuchangia.Yamkini mngetambua ID tofauti na jina hili mngejua nini mnapinga.kwa hili yapo mengi niliyotamani kuyaweka yasomeke.
  2. Nafasi ama utambulisho wangu katika jamii umekuwa ni kigezo cha nini au topic gani naweza kupost,kuchangia na kuibishania.Katikati yenu mmekuwa ni watu mnaonishahuri kwa kutumia PM,kushahuri nini nichangie na nini nisichangie,nini kitoke kwangu na nini kisitoke kwangu,kama mwanasiasa tena mwanasiasa wa upinzani na kama haitoshi mwanaharakati imekuwa ni kikwazo kikubwa kwangu kutoa kile ambacho nakiamini na kukisimamia na kujiweka wazi, mimi ni mtu wa namna gani.
  3. Nafasi nayosimama nayo au kujitambulisha nayo katika jamii inazuia Uhuru wangu wa maoni yanayoweza kuleta ushawishi.Mimi kama mwanamke wakati wote nimesimamia kulinda Heshima ya yule nayejitambulisha nae.ndivyo ninavyoamini na itakuwa hivyo siku zote.

Kwa maana hiyo haimaanishi kwamba nimeshindwa vigezo vilivyotolewa.Bali bado najiamini ni kati ya wanamke shujaa,wavumilivu na mwenye ushawishi.Si hivyo tu Ndoto zangu na maono yangu siku moja yatafika kileleni.

Nipo Jf kwa jina langu kwa heshima zote,nikitaka jamii itambue ni kwa namna gani ninavyojiamini na niko tayari kwa kukemewa,kujifunza na kukosolewa kama ilivyo ada.

hali hii inanitofautisha na wote mnaowataja.

Nawashukuru sana,Nitaendelea kusimamia nafasi yangu,kuiheshimu na kuilinda,kwa maana hiyo bado nitazishikilia hisia zangu na kumuheshimu kila mmoja.
 
Salamu kwa wote,

Nawashukuru wote.Mmechangia ukomavu wangu katika jamii.

Ni kweli sistahili,Lakini ,Sioni sistahili eti kwasababu sijakidhi vigezo 3,4,5 kama wengi mnavyolizungumzia.

Hapana;

  1. Najiamini sana,ninauwezo mkubwa sana wa kujenga hoja na kuileta kwenu wanajamvi na ninajiamini kwa kile nachokisimamia katika jaamii husika.
  2. Uwezo wa kusimamia hoja ninao.Haijalishi ni hoja ya namna gani.
  3. Ushawishi katika yale niyafanyayo ninao.

Labda niseme tu kwanini sistahili;
  1. Kwanza maamuzi ya kuanika jina langu hadharani imekuwa ni sababu namba moja ya kupima kile nachotaka kuandika,kujibu ama kuchangia.Yamkini mngetambua ID tofauti na jina hili mngejua nini mnapinga.kwa hili yapo mengi niliyotamani kuyaweka yasomeke.
  2. Nafasi ama utambulisho wangu katika jamii umekuwa ni kigezo cha nini au topic gani naweza kupost,kuchangia na kuibishania.Katikati yenu mmekuwa ni watu mnaonishahuri kwa kutumia PM,kushahuri nini nichangie na nini nisichangie,nini kitoke kwangu na nini kisitoke kwangu,kama mwanasiasa tena mwanasiasa wa upinzani na kama haitoshi mwanaharakati imekuwa ni kikwazo kikubwa kwangu kutoa kile ambacho nakiamini na kukisimamia na kujiweka wazi, mimi ni mtu wa namna gani.
  3. Nafasi nayosimama nayo au kujitambulisha nayo katika jamii inazuia Uhuru wangu wa maoni yanayoweza kuleta ushawishi.Mimi kama mwanamke wakati wote nimesimamia kulinda Heshima ya yule nayejitambulisha nae.ndivyo ninavyoamini na itakuwa hivyo siku zote.

Kwa maana hiyo haimaanishi kwamba nimeshindwa vigezo vilivyotolewa.Bali bado najiamini ni kati ya wanamke shujaa,wavumilivu na mwenye ushawishi.Si hivyo tu Ndoto zangu na maono yangu siku moja yatafika kileleni.

Nipo Jf kwa jina langu kwa heshima zote,nikitaka jamii itambue ni kwa namna gani ninavyojiamini na niko tayari kwa kukemewa,kujifunza na kukosolewa kama ilivyo ada.

hali hii inanitofautisha na wote mnaowataja.

Nawashukuru sana,Nitaendelea kusimamia nafasi yangu,kuiheshimu na kuilinda,kwa maana hiyo bado nitazishikilia hisia zangu na kumuheshimu kila mmoja.
Kinachoangaliwa ni nini uliandika humu JF na siyo nini unakijua lakini unajizuia kukiandika kutokana na "nafasi" yako kwenye Jamii. Kwa vigezo vilivyowekwa huna sifa ya kupigiwa kura!!
 
Kwa kuwa Josephine mwenyewe kasema hastahili ushindi unaenda kwa namba 2 automatic.
 
Salamu kwa wote,

Nawashukuru wote.Mmechangia ukomavu wangu katika jamii.

Ni kweli sistahili,Lakini ,Sioni sistahili eti kwasababu sijakidhi vigezo 3,4,5 kama wengi mnavyolizungumzia.

Hapana;

  1. Najiamini sana,ninauwezo mkubwa sana wa kujenga hoja na kuileta kwenu wanajamvi na ninajiamini kwa kile nachokisimamia katika jaamii husika.
  2. Uwezo wa kusimamia hoja ninao.Haijalishi ni hoja ya namna gani.
  3. Ushawishi katika yale niyafanyayo ninao.

Labda niseme tu kwanini sistahili;
  1. Kwanza maamuzi ya kuanika jina langu hadharani imekuwa ni sababu namba moja ya kupima kile nachotaka kuandika,kujibu ama kuchangia.Yamkini mngetambua ID tofauti na jina hili mngejua nini mnapinga.kwa hili yapo mengi niliyotamani kuyaweka yasomeke.
  2. Nafasi ama utambulisho wangu katika jamii umekuwa ni kigezo cha nini au topic gani naweza kupost,kuchangia na kuibishania.Katikati yenu mmekuwa ni watu mnaonishahuri kwa kutumia PM,kushahuri nini nichangie na nini nisichangie,nini kitoke kwangu na nini kisitoke kwangu,kama mwanasiasa tena mwanasiasa wa upinzani na kama haitoshi mwanaharakati imekuwa ni kikwazo kikubwa kwangu kutoa kile ambacho nakiamini na kukisimamia na kujiweka wazi, mimi ni mtu wa namna gani.
  3. Nafasi nayosimama nayo au kujitambulisha nayo katika jamii inazuia Uhuru wangu wa maoni yanayoweza kuleta ushawishi.Mimi kama mwanamke wakati wote nimesimamia kulinda Heshima ya yule nayejitambulisha nae.ndivyo ninavyoamini na itakuwa hivyo siku zote.

Kwa maana hiyo haimaanishi kwamba nimeshindwa vigezo vilivyotolewa.Bali bado najiamini ni kati ya wanamke shujaa,wavumilivu na mwenye ushawishi.Si hivyo tu Ndoto zangu na maono yangu siku moja yatafika kileleni.

Nipo Jf kwa jina langu kwa heshima zote,nikitaka jamii itambue ni kwa namna gani ninavyojiamini na niko tayari kwa kukemewa,kujifunza na kukosolewa kama ilivyo ada.

hali hii inanitofautisha na wote mnaowataja.

Nawashukuru sana,Nitaendelea kusimamia nafasi yangu,kuiheshimu na kuilinda,kwa maana hiyo bado nitazishikilia hisia zangu na kumuheshimu kila mmoja.

Asante sana,kwa mara ya kwanza nimekuona ukitetea hoja.
Ume nifurahisha kwa hilo,the new Josephine kumbe ni mtu anae weza kujenga hoja
na kuitetea sio yule wa zamani wa kujibu hoja kishabiki.

Please,tunasubiri kuona michango yako zaidi,kaa mbali na ushabiki wa "ndio","sio"...
haukujengi,naona kumbe ume fungwa na minyororo flani behind the scenes inayo kuzuia
usifunguke,....Well,sijui kama it's for the worse or for better.

Nipe nafasi nikupongeze kwa kushinda,though kama usinge onesha uwezo wako wa
kujieleza hapa ninge kupinga mpaka mwisho.

HONGERA SANA.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom