Jf & family IDD MUBARAKA....

FirstLady1

JF-Expert Member
Jul 29, 2009
16,792
5,374
eid-6.gif

Mwenyezi mungu awatangulie katika sherehe hii njema ..
Mialiko tushapata pia karibuni kwangu Pilau supu kasoro wale wanaopeleka maji ya TBL kinywaji chenu hakitakuwepo ,soda na juice kwa wingi
 
eid-6.gif

Mwenyezi mungu awatangulie katika sherehe hii njema ..
Mialiko tushapata pia karibuni kwangu Pilau supu kasoro wale wanaopeleka maji ya TBL kinywaji chenu hakitakuwepo ,soda na juice kwa wingi
Unyanyapaaa huo sasa...........
 
eid-6.gif

Mwenyezi mungu awatangulie katika sherehe hii njema ..
Mialiko tushapata pia karibuni kwangu Pilau supu kasoro wale wanaopeleka maji ya TBL kinywaji chenu hakitakuwepo ,soda na juice kwa wingi

EID MUBARAKA to you too mama mkwe
 
sawa dia wangu ntakuja soon nitumie na size kabisa ya yule sista duh wangu(u knw wat I mean)nisijeimbiwa mama huyoooo katoka shambani na mkungu wa ndizi alafu siza hata jojo lol
Mama nakutumia kwa NMB mobile karibu sana Pearl .,
 
sawa dia wangu ntakuja soon nitumie na size kabisa ya yule sista duh wangu(u knw wat I mean)nisijeimbiwa mama huyoooo katoka shambani na mkungu wa ndizi alafu siza hata jojo lol

Hivi uko wapi wewe ndio nini kupotea kiasi hicho hayo mambo mimi siwezi kama ndio hivyo au unataka tukuwekee NOVENA na wewe
 
ai weweeeeeeeeeee,yamekuwa hayo tena?mie nipo bana,niliolewa na mpemba markiti akawa anaenda mwenyewe thats y ukawa hunioni gengeni kwako,lkn kanipa talaka tatu usijali sasa tutaonana sana tu au wasemaje?
Hivi uko wapi wewe ndio nini kupotea kiasi hicho hayo mambo mimi siwezi kama ndio hivyo au unataka tukuwekee NOVENA na wewe
 
ai weweeeeeeeeeee,yamekuwa hayo tena?mie nipo bana,niliolewa na mpemba markiti akawa anaenda mwenyewe thats y ukawa hunioni gengeni kwako,lkn kanipa talaka tatu usijali sasa tutaonana sana tu au wasemaje?

:doh::doh::doh: Umeishaharibu sasa mimi bana wapemba nawaogopa banaa, kesho njoo basi niko free
 
sawa dia wangu ntakuja soon nitumie na size kabisa ya yule sista duh wangu(u knw wat I mean)nisijeimbiwa mama huyoooo katoka shambani na mkungu wa ndizi alafu siza hata jojo lol

wewe ndo mgeni haswa ngoja nimuulize kwanza anapendelea nini ati ..naona uko vere business mamy
 
sasa si ungeuliza talaka nilipewa kisa nn?wala sijaharibu si ulisema nisiharibu tena kama ww ulivyoniharibu?
:doh::doh::doh: Umeishaharibu sasa mimi bana wapemba nawaogopa banaa, kesho njoo basi niko free
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom