glass amo
JF-Expert Member
- Aug 11, 2017
- 3,568
- 4,192
Hapo unadanganya. Wakat Kila Niki ingia kuangalia Nan yupo online nakukuta upo. Then unasema sio addicted?Naipenda sana JF lakini haijawahi kuwa addiction yangu
Hapo unadanganya. Wakat Kila Niki ingia kuangalia Nan yupo online nakukuta upo. Then unasema sio addicted?Naipenda sana JF lakini haijawahi kuwa addiction yangu
Hapo unadanganya. Wakat Kila Niki ingia kuangalia Nan yupo online nakukuta upo. Then unasema sio addicted?
Wakuu,
Tunatarajia kati ya saa 7 kamili usiku hadi saa 8 usiku wa leo (1:00am - 2:00am) kwa muda wa Afrika Mashariki kutakuwa na downtime (kutopatikana) kwa Mtandao wa JamiiForums ambayo imepangwa kwa ajili ya kuimarisha zaidi miundombinu yetu na kuboresha mambo kadhaa katika miundombinu.
Mabadiliko hayataonekana kwa macho bali experience ya JF upande wa ufungukaji (kasi) ndo itaongezeka.
Tusingeweza kufanya mabadiliko haya makubwa bila kwenda offline kutokana na sababu zisizoepukika. Mabadiliko mengine ya kimwonekano na upande wa app yatafanyika bila ya kwenda offline kabisa.
Tunawashukuru sana kwa uelewa wenu
Hivi niongee mara ngapi tatizo langu la notification
Nme mpm hadi Maxence Melo huu ni mwezi wa nne
Hakuna kinachoendelea
Au ndo wateja tunahudumiwa kwa matabaka
Am. So pissed off.... Yaani natamani nlifute hata hili li app
Wale wa JF usiku wa manane tukutane saa tisa 😁
jaribu kufuta alafu kudownload app upya
Shukrani kiongozi
Huku kwangu mbona sioni mabadiliko kiongozi
Nope.. nilitegemea kuna features zitaongezeka kiongoziYou mean, JF is slow kwako?
Sure thingSoma vizuri post #1
Mpuuzi sana yule jamaa...Hili siwezi kulisemea. Asante