JF Expected Downtime: October 23, 2019

Status
Not open for further replies.

Invisible

Robot
Feb 11, 2006
9,075
7,878
Wakuu,

Tunatarajia kati ya saa 7 kamili usiku hadi saa 8 usiku wa leo (1:00am - 2:00am) kwa muda wa Afrika Mashariki kutakuwa na downtime (kutopatikana) kwa Mtandao wa JamiiForums ambayo imepangwa kwa ajili ya kuimarisha zaidi miundombinu yetu na kuboresha mambo kadhaa katika miundombinu.

Mabadiliko hayataonekana kwa macho bali experience ya JF upande wa ufungukaji (kasi) ndo itaongezeka.

Tusingeweza kufanya mabadiliko haya makubwa bila kwenda offline kutokana na sababu zisizoepukika. Mabadiliko mengine ya kimwonekano na upande wa app yatafanyika bila ya kwenda offline kabisa.

Tunawashukuru sana kwa uelewa wenu

======
EDIT:

Naomba radhi, mida ya Afrika Mashariki nilichanganya. Tukaanza 00:10am na 01:00am tukawa tumemaliza.
 
Ahsante kwa taarifa. Jambo lingine kwa sisi tunaotumia website unapo taka kumtaja mtu kwa kuanza na alama '@' zinakuja suggestions za kutosha(jambo jema)

ila unapo taka ku scroll down ili upate jina unalilitaka ile list ina vanish je kunaweza kuwa na namna nyingine ya kuboresha hilo? Kama sijaeleweka sina nmna nyingine ya kueleza.

Vinginevyo nawapongeza kwa kazi nzuri.
 
Hivi niongee mara ngapi tatizo langu la notification

Nme mpm hadi Maxence Melo huu ni mwezi wa nne

Hakuna kinachoendelea

Au ndo wateja tunahudumiwa kwa matabaka

Am. So pissed off.... Yaani natamani nlifute hata hili li app
wewe sio platnum member so tulia tulia kidogo

muombe mganga akusaidie kuwasilisha ombi lako

naamini litashughulikiwa fastaaa
 
Wakuu,

Tunatarajia kati ya saa 7 kamili usiku hadi saa 8 usiku wa leo (1:00am - 2:00am) kwa muda wa Afrika Mashariki kutakuwa na downtime (kutopatikana) kwa Mtandao wa JamiiForums ambayo imepangwa kwa ajili ya kuimarisha zaidi miundombinu yetu na kuboresha mambo kadhaa katika miundombinu.

Mabadiliko hayataonekana kwa macho bali experience ya JF upande wa ufungukaji (kasi) ndo itaongezeka.

Tusingeweza kufanya mabadiliko haya makubwa bila kwenda offline kutokana na sababu zisizoepukika. Mabadiliko mengine ya kimwonekano na upande wa app yatafanyika bila ya kwenda offline kabisa.

Tunawashukuru sana kwa uelewa wenu
Kwa nini Musiba anamhusisha mkurugenzi na harakati za kisiasa?
 
Ahsante kwa taarifa. Jambo lingine kwa sisi tunaotumia website unapo taka kumtaja mtu kwa kuanza na alama '@' zinakuja suggestions za kutosha(jambo jema)

ila unapo taka ku scroll down ili upate jina unalilitaka ile list ina vanish je kunaweza kuwa na namna nyingine ya kuboresha hilo? Kama sijaeleweka sina nmna nyingine ya kueleza.

Vinginevyo nawapongeza kwa kazi nzuri.

Well noted, ila nadhani ni browser issue.

Tutaangalia upande wetu. Otherwise nishauri uwe na updated browser
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom