Jamaniiiiiiiiiii inauma.....vizazi vyetu vitaona hawa wanyama kwenye luninga tuuuu;;
Hii nyuzi yote ukiisoma mwanzo mpaka hapa tulipofika imekaa kibaguzi baguzi, lakini kumbuka, waarabu au wazungu, hawaji hapa kuwinda as "poachers", hapo juu nimekuwekea Hunting Blocks ambazo serikali imezitangaza, kwa anaeweza, anweza kuzilipia hilo na mnyama amuwind humo ndani ya block yake na kila mnyama ana bei yake na idadi yake, huwezi kuuwa kiholela tu. Nilipenda ufahamu ya kuwa kama yule swala na wale ndege ambao wanaweza kuliwa wamekutia huruma, utasea nini kuhusu Chui na Tembo? ambao si wengi wanaoweza kuwala hao. Napenda ufahamu kuwa wale waarabu ni waislaam na ni muongozo wa kiislaam kuwa huruhusiwi kuuwa mnyama kwa kumchezea, unaruhusiwa kumuua (kumuwinda) yule ambae wewe au wengine wanaweza kumla.
hakuna cha mzungu wala nani warabu, wazungu wote wanaharamu tu, bila kujari una hisa nao kwa kiwango ganiunasema wafanyiwe kwani wamefanya kosa gani ?usiwe na chuki zako za kibinafsi hao watu wameruhusiwa na viongozi wa nchi na wapo hapo kihalali sasa tatizo liko wapi ?kama ingekuwa mzungu ukesema hayo kama una tatizo lolote nenda mahakamani kama inavyosema serekali .
Tofauti ipo, wale akina mamgungo waliyafanya yoote waiyoyafanya kwa sababu ya ujinga wao.Kwani viongozi wa kizazi hiki wana tofauti gani na akina Sultan Mangungo wa Msovero? Hebu nijuzeni wadau.
hawa waarabu wamekwenda Kwa Babu kwa Loliondo? Kutibiwa?
Bila watu kama hawa kuja na kutalii hapa nchini tusingeweza kujenga universities , Shule za secondary na za msingi , mabarabara n.k.- Angalia maendeleoya Tanzania ya miaka 20 iliopita kabla hujalaumu. jembe la mkono na azimio la Arusha lingetuacha bado tunapanga foleni kupata kipande cha sabuni na hapo hujapata dawa ukapiga mswaki.
Husuda ni hasara.
Watanzania - kiwanda cha maneno matupu ! mojawapo la maana hakuna. Achieni wawekezaji watuokoe au tutakufa njaa na uchumi mmeukalia n ahayo makalio makubwa!
A well established African safari hunting operation and recognized as a top hunting outfitter in Tanzania, with a beautiful camp located in the Kilombero Valley Tanzania. Specializing in most big five safari species, Elephant hunting, African Lion hunting, Leopard hunting, Cape Buffalo trophy hunting, Kudu hunting, Puku hunting and Zebra hunting in addition to other African plains game hunting.
Hahahaaa....hahaaaaa...you've just made my day Mkuu. ndege yenyewe mbovu iende kunyonya mafuta..lol...kama kweli tuna serikali, ifanye hivihivi kwenye mafuta yao ili bei ishuke!
Ndege ya JWTZ ikafyonze mafuta kiulaini hivi tuone!
Tofauti ipo, wale akina mamgungo waliyafanya yoote waiyoyafanya kwa sababu ya ujinga wao.
hawa viongozi wa sasa wanyafanya haya kwasababu ya usaliti wao.
tofauti ni kua hawa wa sasa wanafaham athari za wanachokifanya lakini kwa tamaa na usaliti bado wanafanya.
siwapendi ka nini!!!
yani siwapendi, hata ningekua na uwezo ningewa....... wooote.
<br />kama kweli tuna serikali, ifanye hivihivi kwenye mafuta yao ili bei ishuke! <br />
Ndege ya JWTZ ikafyonze mafuta kiulaini hivi tuone!