JF Exclusive: Wawindaji tuliowauzia wanyama na ardhi yetu tukichekelea!

Viongozi wetu hawana tofauti na mangungo kwa tabia ya kupenda na kuthamini vitu wanavyo hongwa na wageni, tofauti mangungo hakujua kusoma hivyo alitia saini hati ya kuuza ardhi bila kujua, hawa wa leo wamesoma na ma-doctorate lakini atakacho ambiwa na mzungu au mwarabu, anakubali bila fasta bila kujali ndugu zake bora yeye karushiwa vijisenti!
 
Ukatiliwa kwa wanyama ni mbaya sana subirini polepole tunakuja mtatusikia na hayo yatapungua
 
waliniolea mke hawa jamaa na kunivunjia ndoa!nawachukia kama shetan pamoja waliowaleta nchin(ccm)!wanamkambi wao karibu na maeneo ya Wasso!haki ya mungu,.....sina uwezo tu,ningewashtaki
kuwa mtu wa neno basi aza na slaa kachukuwa mke wa mtu
 
Kati ya hao Waarabu waliovalia vazi jamii ya kombati ya jeshi mmoja ni mtoto wa Gadaffi nilishiriki kwenye msafara wake huko Loliondo mwaka 2011 ila ni siri kubwa yani nimeshangaa kuona picha yake humu. KWELI WANAjf mpo juuuuu!!!! Kama CDM.
 
Nilikuwa kwny msafara wake septemba mwaka jana 2010 bila ya kukosea. Yani Nchi imeuzwa na wa2 wachache wenye uchu wa fedha ingali wote 2na haki km watoto wa baba mmoja. Hk chama cha mapapa yani nina USONGO nayo balaaaaaa! Huyu MUNGU mwenye uweza atafungua milango ya UKOMBOZI siku moja tu. Ninaliaaaa jamani!!
 
nzuri nzuri na zitaendelea kuwa nzuri hakuna mtu asiependa nchi yake wala asiempenda kiongozi wake soo mi kiupande wangu nimeziona ni nzuri,,,,na jamani msi REACT kuwa na kubagua nchi au madhehebu kwani muhimu sote ni islam au sote ni bin adam.. thats all kama nilikuchoma kusema nzuri hiyo imekula kwako na kwa ajili hiyo nyambafu ulioikusudia kunambia sijaitambua maana yake nyambafu ni wewe usiejijua karibu JF naona bado ni mgeni na vipost vyako 40 kwaheri shoti,,,,
etieeee, nzurieeeeeeee!!!!!!!!! NyambaXXXXXXf!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
hawajawaona wao bado wameoja kumuona mtu kwenda tembea africa ni sheykh zayed tuu ndio aliewahi na ndie aliewahi kuwaulia bata wao eti shamba la bibi na wazungu mbona waua simba na zebra na kila mdudu hawasemi wala hawaleti picha zao hapa wakanung'unika na kuwakashif lakini mi nishaona jamii forum sasa hivi ina ubaguzi mkubwa tena walllah,,,
Mbona watu wengi tu wanakuja bongo kufanya hivyo kama wanavyofana hawa waarabu, kuleni bata
 
mbana na nyie mwaenda nchi za watu kutembea basi ni kama ni hivyo basi kuwe na sheria kwamba kiwete sijui nani rais wa africa asitembelee nchi yoyte ile kwa ajili yeye ndie hodari wa ziara za kila siku kila nchi... ,,,
What the hell are these mullah's doing in our country? Can some one help please.
 
hapo umesema mpenziiiiii usimlaumu mfuaji wakati abaya nyeusi ndio rangi yake hahahahahha ntakupatia zawadi katika post yako angalau imenifuta machozi,,,
Lawama zangu zote ni kwa viongozi wetu. Mimi siwalaumu hao waarabu. Ni upumbavu na ujinga wa viongozi wetu wanaoruhusu watu wageni kutanua hivyo bila kulipia vizuri.
 
hata mi nafkiri ni hivyo arab wamekuwa maadui wao bila kisa na wala hawajui walitendalo baada ya kuchukia wazungu wachukia warabu mzungu atengeza dawa kutibu ukimwi kuua kizazi soo nani adui atibu malaria wapata kichaaa nani adui hapo but its okay kila mtu na kaburi lake na waendelee tuu kukaza buti,,,waendelee kuchukia arab ila maendeleo hayatafanana hata awl maara,,,
Hahaaa unatafuta uchokozi na watu...huku watu penda sana wazungu
 
Hizi hapa ni hunting blocks zilizotangazwa rasmi, ndani na nje ya nchi, mbona yote haya hamuyasemi? imekuwa nongwa leo Waarabu, Waislaam, kuchukuwa hunting block kihalali na kuliongezea taifa pato kama serikali ilivyokusudia? Au huwa mwao kwa waislaam tu? ndio vibaguzi vichache humu ndani ya JF vinaanza kupayuka?


APPLICATIONS FOR TOURIST HUNTING BLOCKS
INVITATION FOR APPLICATIONS FOR TOURIST HUNTING BLOCKS ALLOCATION FOR THE PERIOD 2013 – 2018
(Made under Section 9 (2) of the Wildlife Conservation Act, Cap.283 (Tourist Hunting Regulations of 2010)
The Ministry of Natural Resources and Tourism invites applications from qualified Tanzanian and Non-Tanzanian applicants for the allocation of Tourist Hunting Blocks for the period starting from 1<sup>st</sup> July 2013 to 31<sup>st</sup> March 2018. There are 156 hunting Blocks established in Game Reserves (GRs), Game Controlled Areas (GCAs) and Open Areas (OAs). A company can only be allocated up to five (5) hunting blocks of which shall be of mixed categories.

1. QUALIFICATION FOR ALLOCATION OF HUNTING BLOCK
In accordance with the Wildlife Conservation Act, Cap.283, no person shall be considered for allocation of a hunting block unless:
(a) has a company intending to engage in hunting of animals registered with the Registrar of companies within Tanzania;
(b) at least one of the Directors has five years experience in wildlife based business and conservation in Tanzania; and
(c) the shares to be owned by the citizens shall not be less than twenty five percent of subscribed shares.
Each application for allocation of hunting block shall be submitted to the Director together with;
(a) a copy of the Memorandum and Articles of Association of the hunting company;
(b) a copy of the Certificate of Incorporation;
(c) TIN Certificate of VAT Registration number;
(d) an application fee as set out in table 1 herein; and
(e) Four passport size photographs for all Directors and Shareholders.

2. APPLICANTS FOR THE HUNTING BLOCK ALLOCATION SHALL ALSO BE ASSESSED ON THE FOLLOWING CRITERIA:
(a) Tanzanian Owned Hunting Company
(i) a suitable registered office premises for carrying out the hunting business;
(ii) a fleet of not less than two vehicles in good running condition of not more than three years since registered in Tanzania, under the company's name and comprehensively insured and having an inspection (Road worthiness) report from the Police or SUMATRA;
(iii) radio communication frequency license for HF;
(iv) at least six tents;
(v) two refrigerators and two freezers;
(vi) two generator of 5KVA and above;
(vii) beds and other necessary furniture; or
In case the applicant doesn't have the above listed equipment shall be required to produce a bank guarantee to the tune of at least USD 300,000.00 as a commitment for the purchase of the equipments within three months after allocation of the hunting block.
(viii) acceptable business plan, indicating


  • Executive Summary;
  • Company description;
  • Product or service;
  • Market analysis summary;
  • Strategy and implementation summary;
  • Management team;
  • Financial analysis.


(ix) good track record with regard to payment of fees and adherence to the Act for currently operating operators;

(x) reference of any good business record;

(xi) good track record of adherence to payment of Government taxes and other statutory payments;

(xii) experience in the Tourist Hunting Industry;

(xiii) declaration on level of commitment to support wildlife conservation (i.e. Community Development projects, Anti poaching activities and hunting block development).

(xiv) payment evidence (Bank Pay-in Slip) of a non refundable application fee.
(xv) Application for each block will be made on a separate form and relevant fees MUST be paid for the same as shown in the table 1:-

Table 1: Application fee as per category of a hunting block.
 
  • Thanks
Reactions: Wun
nilikuwa sijaona hiyo mashine ni Lexus V8 convertible!! The wonders of TZ, V8 convertible in the savannah.....na wanakijiji hawana maji

Imekicheki hicho kitu? Duh! Mamake walai waarabu wanamatusi.
 
Ndiyo maana huwa sisikitiki kabisa nikisikia Mwinyi anaumwa....
 
Hawa nao wamewekeza nini? Maana wanachovuna hawajakileta wao wala hawajaongeza lolote kwenye kilichopo. Labda wameajiri manamba wa kuwasaidia na kuwafulia nguo
Zaidi ya kutuharibia tu maliasili zetu...hao waliowapa vibali sijui kama wanafatilia kujua wanachokifanya huko mbugani au ndio wanajiachia kadri wapendavyo maana naona wanauwa wanyama na ndege kisha wanaacha mizoga inaliwa na hao scavengers tu...Kweli wajinga ndio waliwao....
 
Back
Top Bottom