Hahaa. Sikumbuki vizuri mazee. Inawezekana Sokoine.
Sokoine alikuwa anasifiwa eti Waziri Mkuu mwenye suti tatu, anarudia hizo hizo kila siku.
Hilo nalo tuliona hambo la kusifia.
..Dah!!
..kazi kweli.
..kwa hiyo mtu mtanashati alikuwa hafai kuongoza?