Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,475
- 39,991
Magazeti ya Raia Mwema na Mwanahalisi yalitoka na makala siku ya Jumatano ambazozilikuwa zinahusiana na kikao cha Umoja wa Vijana wa CCM Mwishoni mwa Juma lililopita. Makala hizo inaonekana zimegusa mishipa mibaya ya uongozi wa Umoja wa Vijana wa CCM na hivyo kumlazimisha Katibu Mkuu wa Umoja huo Bw. Shigela kutoa tamko kali lenye kufafanua baadhi ya madai ya magazeti hayo:
Jisomee:
Jisomee: